Recent content by Godwithus

  1. Godwithus

    PreGE2025 Dkt. Anna Henga: Kujiandikisha na kuboresha taarifa zako kwenye Daftari la Kupiga Kura ni hatua muhimu ya kutimiza Haki yako ya Kikatiba

    Kupiga kura? Mbona hawazungumzii uchaguzi huru na haki. Ama kweli hili ni taifa la wajinga
  2. Godwithus

    PreGE2025 Ahmed Ally: Viongozi wanapatikana kwa kadi ya kupiga kura, Watu wajiandiishe wapate haki yao ya Kikatiba

    Kupiga kura? Mbona hawazungumzii uchaguzi huru na haki. Ama kweli hili ni taifa la wajinga
  3. Godwithus

    PreGE2025 B Dozen: Kupiga Kura ni suala la msingi sana, linakuwezesha kupata Kiongozi ambaye unamtaka

    Kupiga kura? Mbona hawazungumzii uchaguzi huru na haki. Ama kweli hili ni taifa la wajinga
  4. Godwithus

    PreGE2025 Fid Q: Kadi yako ya Kupiga Kura itakuwezesha kupiga Kura ili umpate kiongozi ambaye ni chaguo lako

    Kupiga kura? Mbona hawazungumzii uchaguzi huru na haki. Ama kweli hili ni taifa la wajinga
  5. Godwithus

    PreGE2025 Christina Shusho: Kujiandikisha na kupata Kadi ya Kupiga Kura ni Uzalendo

    Kupiga kura? Mbona hawazungumzii uchaguzi huru na haki. Ama kweli hili ni taifa la wajinga
  6. Godwithus

    PreGE2025 Vijana Wazalendo wenye nia ya dhati kugombea nafasi ya Ubunge au Udiwani njooni hapa tupeane mawazo

    Wenzako wanaposema "NO REFORM, NO ELECTION" huwa unaelewaje?
  7. Godwithus

    Angélique Kidjo: Kama hupigi kura, chochote kinachoathiri maisha yako kinakutokea kwasababu hukushiriki katika kufanya maamuzi

    Kwa katiba ya tz, kupiga kura ni kupoteza muda. Watu wanatakiwa kitafuta njia nyingine ya kuleta mabadiliko ya kiuongozi na sio kupiga kura
  8. Godwithus

    Muda unaopaswa kusubiri ili kupata Nyaraka mbalimbali za Huduma nchini Tanzania

    Nafatilia kitambulisho tangu mwaka 2017 hadi leo sijapata, nina namba tu 😁😁
  9. Godwithus

    Rukwa: Wanafunzi waliofukuzwa shule kisa wazazi wao kuwa CHADEMA, warudishwa shuleni

    Shida siyo mwalimu mkuu, shida ni mifumo ya utawala, jueni kwamba mwalimu ni mwajiriwa wa serikali. Kwa mfumo huu mkurugenzi ndio mwajiri, hivyo automatically mwalimu huyo hawezi kwenda kinyume na mwajiri wake ukizingatia haya utaona kwamba mkurugenzi anaweza kutoa maigizo hata kama yapo kinyume...
  10. Godwithus

    LGE2024 CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

    Hakuna uchaguzi hapo, jiondoeni mapema ili msije kulalamika tena. Bora waachiwe wenyewe(ccm) huku nyie mkiendelea kujitafakari na kutafuta njia nyingine ya kudai haki au kuipigania, lakini kwa maigizo haya ya CCM, kila siku hamtaacha kulalamika. Chukueni hatua
  11. Godwithus

    SoC04 Mabadiliko yenye tija katika shule za msingi na sekondari

    Tanzania ni moja kati ya nchi zinazopiga hatua katika maendeleo kwenye nyanja mbalimbali barani Afrika. Ni nchi iliyojaliwa raslimali nyingi kama madini, maji, misitu, mbuga za Wanyama na watu kama kiungo katika kuleta maendeleo. Licha ya hayo, bado kasi yake hairidhishi ikilinganishwa na...
  12. Godwithus

    Nafasi ya Kazi: Muundaji wa Maudhui ya Video na Mbunifu wa Michoro (Video content creator and graphics designer)

    Kwa mshahara huo, atakaekuja kufanya hiyo kazi anaidhalilisha taaluma yake. Acheni utani😁
Back
Top Bottom