Mr Mimi mwaka Jana nilienda Zambia kupeleka viatu vya culture lkn nikakuta bei yao ni ndogo na nikaona haina maslahi..nikaamua kupitiliza hadi Namibia ndipo nikakuta soko lipo vizuri..
Lakini wakati naenda Namibia sikuwa na ndugu wala jamaa Ila nilikomaa kiubishi na MUNGU akanikutanisha na watu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.