DAH! RIP KAMANDA SHANNA ALIKUWA ANANIFURAHISHA SANA NA TAARIFA ALIZOKUWA ANATOA KWA WAANDISHI WA HABARI UTAMSIKIA AKISEMA "KILE KIKOSI KABAMBE NA MAHIRI CHA POLISI KILIPAMBANA NA MAJAMBAZI KWA MUDA WA SAA 2. UKIBANDUA SISI TUNABANDIKA,UKIBEEP SISI TUNAKUPIGIA.TUTAWASAKA UVUNGU KWA UVUNGU.NI...
Licha ya kulipia package ya Tshs 23,000/= lakini tangu juzi nimekuwa sizipati baadhi ya channel kama:
1. AZAM SPORT TWO
2. AZAM HD
NICKELODEON
4. TBC ONE
Na nyingine nyingi tu hazipatikani, sasa sijajua shida iko wapi. Kifurushi changu bado ndio kwanza kina wiki moja tangu nikinunue.
Msaada...
Wewe ni Askari wa TANAPA? Askari aliyekula kiapo cha utii, hawezi kuandika utumbo uliouandika.Siku zote Askari aliyeiva kimafunzo anakuwa mvumilivu na msiri. Nakushauri hii kazi haikufai tafuta kazi nyingine au rudi kijijini kakamate jembe, bunduki haikufai.
Mkuu hali hiyo isikupe pressure, relax. Mimi pia takriban wiki mbili zilizopita hali hiyo ilinitokea nikashangaa kwa sababu sijawahi kuexperience tatizo hilo nilikuwa sisikii kabisa harufu hata wife akijipulizia perfume sisikii chochote nikila chakula hata kama kimewekewa viungo sisikii harufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.