Kushiriki mdahalo ni jambo zuri sana maana linatupatia picha ni viongozi gani tunaowahitaji,swali unashiriki mdahalo na watu wa kariba ipi,je unaenda kushiriki mikutano na watu waliopoteza kumbukumbu kama uyu ambae hajui rais wa ilaki wala libya ?kama tunahitaji midahalo yenye tija na taifa hili...
Mkuu uyo wa mkoa mentally atakuwa na tatzo maana hizi akili za asubuhi zitakuja kuwagharimu sana wakuu wa shule watakao ruhusu upuuzi huu maana watoto wa shule wakizulika uko kwenye mikutano hatutawaelewa kabsa maana watoto hao hawamilikiwi na ccm wala mkuu wa mkoa
Mi nafikiri jeshi la polisi lingetimiza wajibu wa kulinda ili uchaguzi uende kwa amani maana kulinda kura si dhambi na si mara ya kwanza kulinda,miaka yote tumefanya hivi kwa mjibu wa sheria ya uchaguzi,sasa hizi kauli za kibabe na jeuri zinazotolewa na viongozi wanazitoa wapi na kwa maslahi ya...
Hili ndilo tatzo la kuchagua viongoz ambao hawajitambui na wala hawafuati utawala wa kisheria bali ufuata mawazo yao binfsi pasipo kutathimin athari ya uvunjifu huo wa sheria hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi.Rai yangu kwa watawala wasome majira ya nyakati ili tufanye uchaguzi huu kwa amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.