Recent content by Goddie-MM

  1. Goddie-MM

    Hospitali Nzuri Arusha Mjini

    Wadau kwema? Tofauti na NSK, naomba kufahamu hospitali nyingine nzuri Arusha ambayo wanapokea kadi ya NHIF, lakini yenye huduma safi.. Natanguliza shukurani
  2. Goddie-MM

    Kwanini ni ngumu sana, kaka mtu kukupatia namba ya dada/mdogo wake?

    Ila hata kwa wasio wahuni ni changamoto
  3. Goddie-MM

    Kwanini ni ngumu sana, kaka mtu kukupatia namba ya dada/mdogo wake?

    Hello wanaJamii... Kwa uzoefu nilionao, kila nikiomba namba ya binti fulani kwa nia njema tu, kutoka kwa kaka mtu inakuwa ngumu sana na hata wakati fulani kusababisha ugomvi...Hii inasababishwa na nini? Kwangu sioni shida yoyote....
  4. Goddie-MM

    Mfuko 1 wa cement unajengea tofali ngapi (block inch 5)?

    Hiyo hadi nimuuluze fundi wangu, ila kwa tofali ndio kama nilivyojibu....ukitaka strong building fanya 1cement kwa 50 blocks
  5. Goddie-MM

    Mfuko 1 wa cement unajengea tofali ngapi (block inch 5)?

    I mean matofali 45, au 50 na hata 55 huweza kujengwa kwa mfuko mmoja wa cement
  6. Goddie-MM

    Mfuko 1 wa cement unajengea tofali ngapi (block inch 5)?

    Kwa matofali ya inch sita, mfuko mmoja wa cement hujenga matofali 465, 50 na hata 55 na si zaidi
Back
Top Bottom