Wadau kwema? Tofauti na NSK, naomba kufahamu hospitali nyingine nzuri Arusha ambayo wanapokea kadi ya NHIF, lakini yenye huduma safi..
Natanguliza shukurani
Hello wanaJamii...
Kwa uzoefu nilionao, kila nikiomba namba ya binti fulani kwa nia njema tu, kutoka kwa kaka mtu inakuwa ngumu sana na hata wakati fulani kusababisha ugomvi...Hii inasababishwa na nini? Kwangu sioni shida yoyote....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.