Kwa uzoefu nilionao, kila nikiomba namba ya binti fulani kwa nia njema tu, kutoka kwa kaka mtu inakuwa ngumu sana na hata wakati fulani kusababisha ugomvi...Hii inasababishwa na nini? Kwangu sioni shida yoyote....
Moyo wa mtu ni kiza kinene,hajuwi dhamira yako halisi,kwaiyo kunakuwa na wasiwasi kwamba isijetokea mahusiano yenu na dadaake au mdogo wake yakamletea madhara ndugu yake halafu yeye akaonekana alishiriki kuleta hayo matatizo,mfano umpe ujauzito afu umkatae,lawama lazma ztamuhusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.