Naunga hoja. Ni heri kungekuwa na kipindi cha maadili kwa watoto wote. Watoto wakafundishwa wizi sio mzuri pamoja na matendo yote mabaya. Wakafundishwa maadili mazuri katika jamii. Mambo ya dini yakafundishwa kwenye taasisi za dini.
Wakuu naombeni msaada.
Ijumaa mchana kuna watu waliingia kwangu wakafungua geti na milango (sijui funguo walipata wapi) wakaniibia vitu vyangu then wakafunga milango kama ilivyokuwa.
Mwenye kumfahamu mganga anaeweza kurudisha vitu+ kutoa adhabu kali anisaidie. Mwezi uliopita walimfanyia hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.