kinacho onekana ni kutakuwa na kutemwa kwa wachezaj weng msimu ujao..hvyo hzo n mbinu za kuwatoa wachezaj katka mood..
Hata wakiambiwa suala la kutemwa wasiumize kichwa cha zaid ni wao kufikiria kuondoka wenyewe kwa hali hii...
binafsi ni shabiki wa yanga ..naweza sema nina mapenz na mpira wa miguu ila sina mapenz na ulevi wa timu kiasi kwamba hata timu yangu ikikosea niendelee kuipa sifa...
kwa maono yangu simba kwa sasa inacheza mpira wa kimataifa yaani (PASI,COUNTER ATTACK,DIFFENSIVE)nk vyote vinapatikana simba...
kaka upo sahihi.
ila kutokana na perfomanc ya msimu uliopita anaweza akaendelea kucheza balani ulaya kwa timu nyingine... maana genk ni timu kubwa,kwahyo timu ndogi za ligi hiyo zinaweza kumuhitaji..... MFANO LUKAKU ANAWEZA KWENDA STOCK CITY
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.