asante sana kwa kunielewesha kuhusu wimbo,je kuhusu bendera na stahiki ya tanzania kutambuliwa katika ,mchango wake kusaidia harakati za mandela kupambana na utawala wa kibaguzi
can you ask your fellow friends if in S.A as to why Tanzania is totally neglected regardless of her big role that was recognizined even by the late Madiba(the s.a father of nation)himself.
1.kw.kwa nini melody ya wimbo wa taifa inafanana na melody ya wimbo wa afrika kusini?
2.kwa nini bendera ya taifa ya taifa inafanana na bendera ya afrika kusini?
3.mandela alitokea tanzania mazimbu morogoro baada ya kukutana na nyerere kuweka mikakati ya kupigania haki za waafrika kusini dhidi...
Acheni ushamba wa fikra. Waziri mkuu ni kiongozi wa shughuli za serikalini bungeni. So serikali na bunge ni mihimili miwili tofauti. Mbowe yeye ni anaongoza kisehemu kidogo tu ndani ya mhimili wa bunge. So Kwa vyovyote vile waziri mkuu huwezi kumfananisha na KUB
Msidanganyike. Hakuna kitu kama tume huru. Kila mtanzania ana chama anachokipenda na kukiamini. Judges are no exception. Ktk mazingira kama huwezi ku avoid biasness. Waache fbi waje kwani hawana chama
Points zako Dr Slaa ni nzuri sana ila kuna typing errors nyingi sana kiasi wasomaji tu apata shida kidogo. Sijui ni ww umechapa au secretary wako. Jaribu kuwa makini kidogo na vitu vidogo hv coz utaiaibisha nchi siku moja ukiwa Rais.
Nikirudi kwenye mada, hivi kwa siasa zetu tz, ni mwananchi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.