Recent content by Gmpa

  1. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?

    Kwa mtazamo wa psychology wa sigmund Freud's tunatawaliwa na mambo haya 3, upande mmoja unaposhindwa kufanya maamuzi unaathiri UPANDE mwingine.
  2. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Je, ni taratibu gani unapaswa kuzifuata kabla ya kuanzisha duka la dawa za binaadamu?

    Habarini wanajamvi, naombeni niende kwenye Mada kama inavyoeleza hapo juu. Nimekuwa nawaza nianzishe duka la dawa ila naombeni mwongozo wa namna ya kuanza kwa kuona makisio ya mtaji, na changamato zake!
  3. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Kusaidia jamii inayokuzunguka

    Usiseme umepoteza kitu, bali sema nimekirudisha kwa wenyewe, kwa kuwa kila ulichonacho siyo mali yako ya kudumu, bali umepewa utumie kwa muda, ipo siku kitarudi kilipotoka. Hivyo tumia vizuri kila ulichonacho sasa.
  4. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Zingatia mambo haya yatakusaidia

    Ahsante Mr, Mshana Kwa dondoo muhimu!!!
  5. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Imani Yangu: Simba Sc Itapita kwenye kundi lake kwenye CCL

    Hongera kwa ubashiri wako. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari Shairi: Kwanini ng'ombe ni wengi kuliko mbwa?

    Katika jamii tunazo ishi. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari Shairi: Kwanini ng'ombe ni wengi kuliko mbwa?

    [emoji122][emoji122][emoji122][emoji871] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari Shairi: Kwanini ng'ombe ni wengi kuliko mbwa?

    Heh, heeeeeh!! Hebu tuwasubiri waje watupe majibu kama hupungua kwa kuliwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari Shairi: Kwanini ng'ombe ni wengi kuliko mbwa?

    That's fact!!! Ila hata kama ni hivyo mbwa kwa miaka hiyo 9 walitakiwa kuwa wengi kutona na wao huzaliwa wengi tofauti na ng'ombe. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari Shairi: Kwanini ng'ombe ni wengi kuliko mbwa?

    Aaaa, [emoji22][emoji22] Ama kweli kilio cha samaki machozi huenda na maji. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari Shairi: Kwanini ng'ombe ni wengi kuliko mbwa?

    Mbwa wazaa wengi, wazidiwaje na ng'ombe? Swali hili ni la msingi, nijibu nipe ujumbe. Najua hunipingi, wengi ng'ombe wenye pembe, Wazidiwaje na ng'ombe, mbwa uzaaye wengi? Mbwa ukizaa sita, ng'ombe mtoto mmoja, Vipi ng'ombe wakupita mbwa kwenye mchakato? Mbwa ni wengi mzalipo ni vipi mzidiwe...
  12. Gmpa

    JamiiForums Tanzania ID ya mwana JF unayo ikubali

    Gmpa[emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Gmpa

    JamiiForums Tanzania Msaada wa swali hili.

    Ni leksimu gani , ukitaja hurejelea utajo na urejeleo kwa wakati mmoja? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Gmpa

    JamiiForums Tanzania HABARINI WANAJAMVI!!

    Ninaomba kujuzwa kuhusiana na fao la uzazi la PSPF. Nina mke wangu ni mtumishi alijifungua mwezi June 2018. Hivyo alijaza fomu stahiki kwaajili ya kupata fao hilo la uzazi. Majibu aliyopewa ilikuwa baada ya miezi 3 atapewa pesa yake, lakini hadi leo bado kimya. Akifuatilia anaambiwa aendelee...
Back
Top Bottom