Recent content by Gmm Mwakage

  1. Gmm Mwakage

    Yupi ni A MAN OF THE YEAR kwenye kupambania haki na maisha ya watu 2025 kati ya viongozi na wanaharakati wafuatao

    Tunafunga mwaka kibabe sana, Ni majina gani ya wanaharakati na viongozi waliokonga na kugusa moyo wako na mioyo ya watanzania katika kusimamia haki, kupambania uhuru wa watu, kuongoza vizuri, kulinda amani na utu wa watanzania kati ya hawa hapa chini 1. Joelson Mpina 2. Tundu Antiphas Lissu 3...
  2. Gmm Mwakage

    Kati ya mweusi na mzungu, nani alikuwepo kabla ya mwenzake

    Hujajibu swali langu ndugu, swali langu liko wazi sana
  3. Gmm Mwakage

    Kati ya mweusi na mzungu, nani alikuwepo kabla ya mwenzake

    Weusi wawili wakijamiana wana uwezo wa kuzaa albino ambae anamuonekanowa kizungu, ila mzungu na mzungu mwenzake wakilala hawawezi kuzaa mtu mweusi. Ifahamike mu mweusi anaweza kujichubua na kuwa mweupe mithiri ya mzungu ila mzungu kwa namna yeyote ile hawezi kuwa mweusi. Adam na hawa walikuwa...
  4. Gmm Mwakage

    PostGE2025 Pumzika kwa amani askari mwaminifu Elisha Mwakafwaga

    E. UMAUTI Siku ya tarehe 29. 10. 2025 Elisha Mwakafwaga akiwa njiani kuelekea nyumbani kwa dada yake alipatwa na mkasa wa kupigwa risasi, eneo la tumbo kisha akawahishwa hospitalini. Alifanyiwa operationa mbili na kulazwa katika hospitali ya rufaa ya kanda mkoani Mbeya. Hali yake ilianza...
  5. Gmm Mwakage

    Binti/kijana vipi mungu akikupa mwenza mwenye tabia kama mzazi wako, maisha yatasonga au inahitaji moyo?

    Asante kwa kuelewa swali, naona wengi wanajibu kwa kujidefend wao wenyew kuolewa na wanaume wafupi.... swali langu hata halikuwa hapo, hayo yalikuwa maelezo tu ila swali langu liko very open sema defensive mechanism ni kubwa sana.
  6. Gmm Mwakage

    Binti/kijana vipi mungu akikupa mwenza mwenye tabia kama mzazi wako, maisha yatasonga au inahitaji moyo?

    Nina swali kwa Pande zote mbili! Kwanza nianze na mabinti, vipi ikatokea Mungu akakupa mume kama alivyo baba yako? Sikulenga swali, Jitahidi kuelewa sana maisha yanataka nini, wanawake siku hizi mnavigezo vingi tena visivyo na mwisho na vingine hadi mtu unashangaa, hivi kweli ndio wako hivi...
  7. Gmm Mwakage

    Wazoesheni mabinti zenu kuwaambia mnawapenda, wanatapeliwa sana miili yao huku nje wakiambiwa hayo maneno

    Watoto wengi wa kike siku hizi wanatapeliwa kirahisi sana miili yao kwasababu kuna maneno wanayoambiwa na boys ambayo nyumbani hawaambiwi. Sasahivi imezoeleka kuwa maneno kama "NAKUPENDA" yanasikika kwa watu wenye mahusiano ya kimapenzi tu na wala si manyumbani mwetu. Lakini kupendana si tu kwa...
  8. Gmm Mwakage

    Nimekuja kugundua Idadi kubwa ya wadada wa vyuoni ni Single mothers, utandawazi tumeupokea vibaya sasa unaharibu kizazi

    IDADI KUBWA YA WADADA WA VYUONI NI SINGLE MOTHERS Soma pia: Athari zinazopatikana kwa mtoto alielelewa na Single mother Ulimwengu unakwenda kasi sana, siku hizi maovu tumeyachukulia kama lifestyle, zamani mtu akizalia nyumbani ilikuwa ni aibu kubwa na mara nyingi mtu aliyezalia nyumbani...
Back
Top Bottom