Wabunge wanaposhindwa kujieleza kingereza,Je ni tatizo?
Nashauri kamati ya Bunge kushirikiana Britsh council kuandaa msasa kwa wabunge kuweza kujieleza vyema katika lugha husika.:confused3:
nafikiri ni hatua muafaka kwa hatua moja kwani hatua zaidi zinabidi kuzingatiwa kukamilisha safari ya kujisafisha na kurudisha matumaini kwa wanachama na chama kiujumla ,naongopa kusema ya kwamba kwa hatua hiyo isije ikawa ni ya saniiiiiiiii tuuuu maana viongozi wetu wamekuwa watu wa porojo...
Godbless as the name it's real no doubt about him his real a blessed with our almighty God ,what we all should know it's very important to keep pray for him .His a very good example of what a MP should be.Big LEMA and i sincerly congratulation all voter of AR for select him
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.