Recent content by GM98

  1. G

    Huwezi kuwa Muislamu kama humpendi Isa (Yesu) au kumdhihaki

    Huu mjadala hauna mwisho, hakuna anaejua dini ipi ni ipi lakini sote tunajua ili kwenda mbinguni ni lazima utende wema, na dini zote zimeweka wazi ni vitu gani usifanue na nini ufanye ili uende mbinguni. Tenda wema, Toa sadaka, Fanya ibada, Mengine ni rehema za mungu. Warabu walileta uislamu...
  2. G

    Msaada kilimo cha nyanya

    habari wakuu hawa wadudu wanakula sana mizizi ya nyanya zangu mpaka zinakauka, je nitumie nn kuwadhibiti!?
  3. G

    Naomba msaada katika kilimo cha mahindi: Majani kuanzia chini kuja juu yanakauka, sijajua shida ni nini

    Habari wakuu, Nimepanda mahindi mwezi November 2023 maeneo ya mkuranga mbegu ya pioneer sasa yamefikia hatua ya kubeba(yana miezi miwili) ila yamepata tatizo lakunyauka majani kuanzia chini kuja juu sijajua shida ni nini sijapuliza dawa ya magugu wala ku overdose kiwatilifu chochote, naombeni...
  4. G

    Msaada kuhusu kilimo cha mahindi

    Asante, ubarikiwe sana
  5. G

    Msaada kuhusu kilimo cha mahindi

    mmea ukiwa unaota kiongozi
  6. G

    Msaada kuhusu kilimo cha mahindi

    Habari wakuu, me ni mkulima mchanga ndo nimeanza kilimo, nina swali, hivi kuna dawa ya kuzuia mimea ya mahindi yasiliwe na wadudu yakiwa shamba au nisubir kama nitaona wadudu ndo nipulize dawa!?
  7. G

    Mbegu ipi ya nyanya inafaa kupanda kipindi hiki cha mwezi wa 9?

    Habari ndugu, Naomba msaada kujua ni mbegu ipi ya nyanya inafaa kupanda kipindi hiki cha miez ya 9 mpaka 12? Nipo Mkuranga.
  8. G

    Naomba kujuzwa bei ya jumla ya nyanya soko la Mabibo

    Habari wakuu, Naomba kuuliza bei ya jumla ya nyanya soko la Mabibo.
  9. G

    Yoweri Museveni Rais wa Uganda amepiga marufuku Mitumba. Amesema ni Nguo zilizoachwa na Wafu wa Ulaya

    kwahiyo aogope kufanya kitu kwa manufaa ya nchi yake? uoga wetu ndio umaskini wetu
  10. G

    Aina gani ya mbegu ya pioneer inafaa kwa mahindi ya kuchoma ukanda wa Pwani?

    Habari ndugu, Aina gani ya mbegu ya pioneer inafaa kwa mahindi ya kuchoma ukanda wa Pwani?
  11. G

    Mbegu gani nzuri kwa mahindi ya kuchoma

    inakubali ukanda huu wa pwani?
Back
Top Bottom