Naomba kujua barabara zilizotiwa sauni ya ujenzi kuanza ni zipi? Je barabara za kwenda kitunda.magole.mwanagati zipo? Huku hali ni mbaya sana.anauliza raia mwema wq kitunda
Naomba kujua unywaji pombe salama na bora kiafya ni kiwango gani kwa siku?
Bia ni kiasi gani na pombe kali konyagi au K.VANY ni kiasi gani? Wadau naomba kujuzwa kiwango sahihi kwa siku.
Kwa siku tatu sasa ukitaka kuhakiki ubora
Pombe kali konyagi.k vant nk mfumo unatoa mesage.MANTANANCE MODE AU SERVER UNAVAILABILITY TRY AGAON LATER .
Vile vili kuna hisia watu kuanza kupata shida kunywa vinywaji vikali.
Je kuna shida gani? Wahusika tunaomba mrejesho haraka.
Huu mfumo ni kiboko na mzuri sana ni shirikishi, wa kisasa, usalama nk.
Tangu nimeanza kuutumia napata vifaa na huduma kwa nusu ya bei ya awali.
Huu mfumo ukitumia vizuri naamini kabisa matumizi ya serikali yatapungua kwa 50%.
PIA SOMA
- PPRA pamoja kuweka mfumo sahihi, kagueni michakato ya...
Nakodisha mashine ya kusaga, ina vinu viwili cha kusaga na kukoboa pamoja na mizani
Stoo yaani biashara yote, mahali Kitunda Magole DSM. Sehemu haina mashine jirani.
Bei 200.000 kwa mwezi.
Nipigie 0754 279035 kwa maelezo zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.