Kuna application maalum ipo play store unadown load kwenye simu.ukiwasha data unascan ile stemp na barcode inakuambia kama ni pombe feki au la.ni rahisi sana wapigie tra kwa maelekezo
Nipo moshi mitaa ya.rombo.pombe asilimia 80 nilizohakiki kwa kutumia program ya ya.hakiki stemp ya tra.zinaonyesha ni feki.hivi wahusika wako wapi?.₩atu wanauziwa sumu.biashara zinaharibiwa.serekali inakosa mapato bado hakuna hatua zinachukuliwa.
Serikali itoe mwongozo kila anayeninua pombe...
Jana nimetoka Moshi na basi lako kufika mwananchi llimekata mafuta. Tumekaa zaaidi ya masaa mawili kusubiri mafuta toka Pugu.
Boda boda mmoja mrangi kaleta mafuta na dumu lita 20. Basi zuri dragon inakataje mafuta njiani. Chukua hatua mapema. Haina afya kibiashara
Naondoka asubuhi na garo yangu binafsi harria 2006 cc 2360 kwa mara ya kwanza.
Gari ni mpya kilomita 560 from dsm to moshi.niandae lita ngapi.natumia ac mwanzo mwisho.driving speed 80 to 120.
Naondoka asubuhi na gari yangu binafsi Harrier 2006 cc 2360 kwa mara ya kwanza.
Gari ni mpya kilomita 560 from Dar to Moshi niandae lita ngapi.
Natumia AC mwanzo mwisho, driving speed 80 to 120.
Nimekwenda sehemu za mkoa wa pwani bush kabisa nimekuta vijana wa bodaboda wananunua petroli ya.kulima kwa chupa.
Nomeshawishika niwajengee angalau kituo simple cha petrol.
Swali kituo simple kinagarimu kiasi gani? Pampu mojanya disel na petrol, vipi bei ya leseni, vibali nk.
Nina kiwanja...
Tumbo limechafuka nikameza flagin asubuhi.mchana likatulia kabisa.sasa natakiwa nikae muda gani nianze kunywa pombe.mimi ni mpenzi wa konyagi.siwezi kulala bila kupata kale kachupa kadogo kwa ajili ya usingizi.kuburudika.kuondoa mafua.covid nk.
Mimi ni mgeni tanga mjini.naomba kujua kanisa katoliki hapa mjini karibu na mtaa wa chuda hoteli niliopanga liko wapi?
Naomba kujua pia ratiba yake ya ibada kesho jumapili.
Nataka nipate ibada kwanza kabla ya kuendelea na majukumu yaliyonileta tanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.