Recent content by Gloria

  1. G

    Rais Magufuli amteua RAS wa Kagera, Jaji Warioba aukwaa Ukuu wa Chuo SUA

    Nendeni shule hapo ndio mtateuliwa.sifa ya kwanza kwa JPM ni kuwa na shule ndio maana maprofesa na Madaktari na Ma Injia wanateuliwa kila mara.lingine utendaji ndio kigezo cha JPM
  2. G

    Gazeti la MIZANI na uchochezi dhidi ya Rais, Waziri Nape lifute hili gazeti

    Hongera sana Mh kwa kusaini muswaada huo kuwa sheria. Hii italeta heshma kubwa kwenye tasnia ya habari. Tuondokane na magazeti na waandishi makanjanja. Magazeti kama haya ya Mizani na yafananayo ndio ya kuanza nayo
  3. G

    Gazeti la MIZANI na uchochezi dhidi ya Rais, Waziri Nape lifute hili gazeti

    Mh Rais saini tunaomba utakapokuja mswaada wa Habari usaini haraka, na hili gazeti ndio la kuanza nalo
  4. G

    Gazeti la MIZANI na uchochezi dhidi ya Rais, Waziri Nape lifute hili gazeti

    Baada ya kupata habari kuhusu Gazeti hili hapa JF jana, niliamua kulitafuta na nikalipata maeneo ya Lumumba pale Falcon. Naomba Waziri Nape alifungie kipeperushi hiki haraka kwa uchochezi kwani halina tofauti na vipeperushi vingine vilivyofungiwa kama Mawio na vyombo vingine kwa uchochezi...
  5. G

    Mbowe kuwaingiza rasmi CUF na NCCR Serikali Kivuli Bungeni

    Makubwa haya Chadema leo wanaungana na "Waliberali!"
  6. G

    Sijawahi kuona kitu kama hiki

    Photoshop hiyo be careful
  7. G

    CHADEMA yazidi kusarambatika, baadhi ya ofisi zafungwa na zageuzwa maduka

    Kutoka ofisi mpaka kuwa genge la kuuza pilipili hoho, nyanya chungu, bamia nk. kuna mafundisho kwa wenye kufikiri.....
  8. G

    Waraka wa tatu wa Lema kwa rais Kikwete

    Bado yupo Dododma kwani?
  9. G

    Serikali3

    Zitakuwa kisiwa cha Chumbe mpaka baina ya Zanzibar na Tanganyika
  10. G

    Yaliyojiri katika Uchaguzi mdogo jimboni Chalinze - Aprili 6, 2014

    Tujuze na taaluma ya mgombea wa Chadema pia...
  11. G

    Sitta: Nafaa kuwa Rais wa Tanzania!

    Road to urais ya Sitta ipo hivi; kulichelewesha/ahirisha bunge la katibu kwa kadiri ya uwezo wake mpaka term ya urais ya Kikwete itakapo kwisha. Baada ya hapo "bunge la katiba" litapokea na ku assume madaraka ya rais mpaka zoezi la katiba mpya litakapo kamilika na yeye Sitta atakuwa "Rais" wa...
  12. G

    Dual Citizenship:- Rais JK Aliporudia Maneno Yangu Jana London/UK!!

    Mimi nafikiri hoja sasa iwe kuomba uraia wa nchi 3 sambamba na madai ya serikali 3
  13. G

    Prof Issa Shivji na ubakaji wa matakwa ya UMMA na Muundo wa Muungano

    Kufa kwa wazee huko, yaani na wewe mburula Yericko una audicity ya kum criticize Prof Shivji! my friend you are advertising your own ignorance!
  14. G

    Zackaria Hans Poppe na Fredrick Mwakalebela wanafaa kuliongoza jimbo la Iringa Mjini

    Kiboko ya Kandambili, na jana wametaga Tanga!
  15. G

    Miaka 15 akiwa mbunge na miaka 9 akiwa rais,Kikwete hii ndiyo kazi aliyoifanya Chalinze

    Baba Junior kajenga flovers karatu ubunge miaka 15
Back
Top Bottom