yohana charles
Senior Member
- Mar 21, 2013
- 134
- 10
Kama kweli Chama cha Mapinduzi Iringa kina nia ya kulirejesha jimbo la Iringa mjini ktk himaya yao..tunaomba wafanye wawezavyo 2015 watuletee HANSPOPPE au MWAKALEBELA.
Kwa sisi tulio huku mitaani wawili hao wanatajwatajwa sana,watu wanawahtaji sana na wanaamini ndio wenye uwezo mkubwa wa kuwaletea makubwa ktk jimbo lao wanalolipenda la Iringa mjini.
Lakin wapo wanaoshauri kwamba kama HANSPOPPE atakubali kugombea ubunge basi MWAKALEBELA agombee udiwani halafu hatimaye agombee umeya wa manispaa ya Iringa,watu wanaamini combination ya HANSPOPPE kama Mbunge na MWAKALEBELA kama Meya itafanya makubwa sana.
Lakini kama Hanspoppe hatakuwa tayari kuwania ubunge basi chonde mleteni MWAKALEBELA tafadhali..
Kwa sisi tulio huku mitaani wawili hao wanatajwatajwa sana,watu wanawahtaji sana na wanaamini ndio wenye uwezo mkubwa wa kuwaletea makubwa ktk jimbo lao wanalolipenda la Iringa mjini.
Lakin wapo wanaoshauri kwamba kama HANSPOPPE atakubali kugombea ubunge basi MWAKALEBELA agombee udiwani halafu hatimaye agombee umeya wa manispaa ya Iringa,watu wanaamini combination ya HANSPOPPE kama Mbunge na MWAKALEBELA kama Meya itafanya makubwa sana.
Lakini kama Hanspoppe hatakuwa tayari kuwania ubunge basi chonde mleteni MWAKALEBELA tafadhali..