Kwa Nini Ufanisi wao Ni zero?
Kwa Sababu hata HQ hawana msaada wowote ukiwapelekea Taarifa ambako mara nyingi tunaamini ndiyo center of critical thinkers.
Na je; serikali haijui huu uozo uliopo NBC ? B.O.T mbona wanailea hili genge la kuihujumu serikali?
Hawana huduma nzuri kuanzia customer care na general service
They don't care whether. wamekuhudumia au la, hongera kwa NMB wanajali na kuhudumia wateja.
Soon nafunga account yangu na Mrs nihamie Crdb,Hadi pale watakapojitambua.
Issue sio kuwepo wabunge wa CDM bungeni ila Ni ruzuku inayotolewa mabeberu kwenye Kamati ya PAC ambayo kimsingi inaongozwa na Kambi ya upinzani
Kwa drama hizi na zingine bado nchi wafadhili watakuwa na imani na serikali yetu Tukufu? Binafsi naona Ni mchezo ambao umechezwa bila weledi na kuchafua...
Majibu hayakidhi kiwango ,kwa kifupi kampuni lenu Ni wezi kupita maelekezo mliyopewa na Tcra.
Galama Ni kubwa alafu channel zenu zote za kipuuzi, mteja analipia TSH 11000 alafu channel hazizidi 15 zinazokamata nazo Ni za kichina. Soon ungo wenu nageuza tyle la kuchezea watoto
Sent from my TECNO...
Nashukuru,nimegundua wengi ya wanaonitafuta privacy wako kwa ajili ya maslahi yao,na wamegeuza hii mada Kama fimbo. Nakwazika Sana lakini Sina jinsi ya kuvumilia kwa sababu niliyataka mwenyewe.
Shukran kwa tahadhari yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha yangu Ni ya kawaida ,natumia soft drinks occasionally,sivuti aina yoyote ya sigara na body weight Ni normal below 70 kg.
I can guess labda stress ndo changamoto ,kwa sababu tuko kwenye Dunia yenye mchanganyiko wa watu,japo nazo sio Muda wote.
Zaidi nikushukuru kwa mchango wako na...
Ndugu mahusiano yetu yalikuwa Ni kukuzana, mawazo yake alijua ningemuoa lakini alishindwa kuvumulia na alitangulia kuolewa nikiwa chuo.Nimemchukua mtoto akiwa tayali kaolewa.
Hiki ndicho kinaniumiza kila siku sijui hata chuki chanzo ni nini
Nashukuru Sana kwa ujumbe mzuri na ushauri pia, bahati nzuri tumetengana mikoa tofauti na mbali sana kiasi kwamba hata kuja kumwona mtoto hawezi.
Kwa Sasa anataka Mtoto arudishe aishi naye na mahitaji yote nitume, ndipo ugomvi ulipo kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.