Recent content by Globetrotter

  1. G

    Maji ya kujaza Bwawa la Nyerere yatatoka wapi?

    Ukimskiliza chande midaa kwenye space inaonekana gesi nayo ni miyeyusho kwenye mambo ya impact ya hali ya hewa so maji ndo kila kitu kwa nchi zetu hizi labda tuhamie kwenye nyukilia
  2. G

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Dah hii ugonjwa inanitesa for years now especialy nikitoka kuoga, siwez oga bafu chafu au kujifutia taulo bichi au chafu au kurudia nguo manake au kukaa kwenye vumbi inatrigger immidietly. Niliwah zunguka mahospitalini nikakosa sltn ila nikaja kutana na daktari akanipa huu muongozo, kwakifupi...
  3. G

    Matamshi ya Mh. Kassim Majaliwa kuhusiana na Bwawa la Umeme la Nyerere

    Na alipoongea vile umma wa wana Instagram na faceebook ulimwamini ingawa twitter na jf haukumwelewa kabisa.
  4. G

    Matamshi ya Mh. Kassim Majaliwa kuhusiana na Bwawa la Umeme la Nyerere

    Nadhani inabid ajitathimini ikiwezekana atafute namna ya kuweza kuaminika tena ikishindakana ajitoe tu au atumie walioko chini yake
  5. G

    Matamshi ya Mh. Kassim Majaliwa kuhusiana na Bwawa la Umeme la Nyerere

    Napata wakati mgumu kuyaamini matamshi ya waziri mkuu anaposema bwawa la kuzalisha umeme linaloendelea na ujenzi litakamilika mwakani mwezi wa sita na pesa ipo. Waziri huyuhuyu mwezi uliopita alituambia hayati Magufuli yuko kazini anachapa kazi ilhali alikua hospitali mahututi.
  6. G

    Siasa imetumika kwenye vifurushi

    Vimerudi kama zamani kwa majina tu ila data imepungua by half, hii ni kwa upande wa voda nazungumzia sijajua kwingine
  7. G

    Tanzania na Vifurushi vipya vya Data na Sauti (Aprili 2021) - Mwitikio wa wananchi

    Biashara za mitandao zitakwenda kuanguka especialy kwa wanaoitegemea ili kutrend
  8. G

    Hasara ya mabilioni ya dola baada ya mfereji wa Suez kuzibwa na meli kubwa ya mizigo

    Duh tan 200,000 zikitua bandari salama si lori kama zote zitatumika kuupeleka zambia km ni zambia zaelekea
Back
Top Bottom