Wabongo bhana wana matatizo sana angeenda Oxford mngesema 'oooh! Wanasomeshwa ulaya wakikwepa elimu ya bongo magumashi!!!! kaenda Mliman bado mnapepesa ndimi zenu ndomana hatuendelei kwa fitina zenu!!
Baraza nao wanajua kwamba kuna watu mtahitaji kuchepuka mkimalza six haitakuwa simple hivyo i thnk urahis wa hapo ni kwamba utamalza na ualimu then huko mbeleni unaweza badili fani since unavyeti vyenye ufaulu
Then punguza ushamba na kukariri ujinga alie kwambia kuwa PRIVATE school zote wanapewa spoon feedn nani???? Utapotea ww oooh hee mi shule nliosoma NI SWILLA ipo mbeya kaulize uambiwe kama kunaspoon feedn pale. Zaid ukienda mrembo kama ww utaomba kuhama ndan ya frst term watu wanalala masaa 3...
Wewe embu kuwa na staha kidogo kuhusu swala la uandishi wang iyo ni short writtn form or unahc kwenye paper ntaandak X badala ya S nikulembee ww nani NECTA au uliza uambiwe kukwambia NASUBIR post haina maana cna uwezo wa Private MBWINDE ww sasa nasubr post zitoke ili nijue xcl lin ------- ww...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.