Recent content by Girl Poet

  1. G

    KERO Hivi ni sahihi Wanafunzi wa shule ya msingi kwenda shule saa 12 asubuhi mpaka 12 jioni?

    From an experienced to a future mzazi mtata, muda ukifika kazia hapo hapo maana kumlazimishia mtoto kitabu asubuhi mpaka usiku ni kumtesa tu, wala haiwasadii zaidi ya kukariri vitu. Wangu alivyoingia Class 4 nilikataa boarding (never been a fan), nikaambiwa basi lazima umlete asubuhi mapema...
  2. G

    Utajiri wa kichawi: Hivi haya mambo yapogo kweli? Maana kuna wimbi la vijana wanapigwa pesa kimya kimya

    Ni muhimu sana ukitumia huo mstari kuhalalisha jambo kama hilo basi u-quote mstari mzima for context. Mstari unasema "For the love of money is the root of all evil." na sio "money" is the root. Tatizo sio pesa itself, bali kitendo cha kupenda pesa. Pesa haindeshi wala kusukuma mtu kufanya...
  3. G

    Wimbo wa Makombolela kupigwa kwenye sherehe nyingi siku za hivi karibuni, inafikirisha

    SOUNDTRACK ya harakati zakuupigania uhuru wa pili wa Tanganyika📌
  4. G

    PostGE2025 Kesi ya Mange yapigwa kalenda hadi januari 28, 2026, Upelelezi haujakamilika

    They were counting on the element of surprise maana catching Mange off guard kwenye hili ndio advantage kubwa waliyokua nayo. Issue ya taarifa kumfikia Mange kabla ya muda waliokua wamekusudia wao ni sawa na kubadilishiwa magoli katikati ya mchezo. Hii imempa Mange advantage yakujiandaa...
  5. G

    PostGE2025 Chid benz: Hatupati kipato, hakuna kazi, hakuna show

    Watulie tu, kwa sasa wao sio kipaumbele cha sirikali wala wananchi. Na ikiwabidi sana basi wafanye kazi kama tulivyoshauriwa na mwenzao.
  6. G

    Account za Mange Kimambi na Wananchi Forum zote zimefutwa Instagram. Inafurahia mauaji ama kweli mnyonge Hana haki duniani

    Unfortunately for them, hali ilipofikia haizuiliki kwakuondosha account moja ya Instagram. Kama ni mbinu basi zimewaishia kitambo sana.
  7. G

    Kwa hotuba ya leo, kwanini aliunda tume?

    Samuya na Serikali yake... Strategy 0% Panic mode 105%
  8. G

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Tusiendelee kushabikia matukio yaliyotokea Oktoba 29

    Kumbe CNN ndio walijaribu kuanzisha chuki za kidini??😲😲
  9. G

    Unpopular Opinion: Ufafanuzi wa Msigwa ni muhimu sana!!!

    Katika kipindi ambacho majeraha bado ni mabichi na hasira ni kali, swala la kusikia taarifa nyingine ama ufafanuzi kutoka serikalini linaleta kichefuchefu. Kwa haraka haraka, wengi wetu hatutaki kabisa kusikia chochote kutoka kwa Samia na genge lake. Lakini tukiangalia kiundani na...
  10. G

    PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025

    Inabidi wahaini nao, including Lissu, wapewe the same courtesy ili mzani ukae sawa ⚖️
Back
Top Bottom