Recent content by Girl Poet

  1. G

    JamiiForums Tanzania Waziri awaita wakina Sheikh Mwaipopo na wengine

    Upuuzi mtupu!
  2. G

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Thanks for responding. Nimeambiwa utarudi saa kumi, usiporudi ntakupa taarifa zaidi for further assistance.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Ngoja basi umeme urudi tuchaji vikoroko vya kutumia njiani.
  4. G

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Possibly 😔 Asante!
  5. G

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Labda wasiojulikana wana kikao huku kwetu 🙇🏾
  6. G

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Embu ngoja tuhame kwanza usije ukatuacha homeless.
  7. G

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Inabidi kwakweli 😮‍💨
  8. G

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Bunju yote hatuwezi kuwa tumeishiwa units kwa wakati mmoja bana 🥴
  9. G

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Jamani umeme umekatika kila mahali ama ni huku madongo kuinama tu? Nauliza maana it's been a while tokea umeme ukatike usiku alafu usirudi ndani ya muda mfupi 😵
  10. G

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

    Naomba uni-tag 🙏🏾
  11. G

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo Yaituhumu Serikali Kufeli Ahadi ya Bima ya Afya kwa Wote

    Embu watuache kwanza tu-focus kwenye ugomvi wa wakubwa.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Bank gani Tanzania ina unafuu?

    DTB Iko poa sana. Nna account 3 tofauti na hamna hata moja inayokatwa makato yoyote (mwezi/mwaka) zaidi ya pale nnapofanya transactions. Na ukilipia kwa kadi ndo kabisa 🙌🏾
  13. G

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    😔 Rudia basi 🙇🏾
Back
Top Bottom