cipati picha mkakutana na mke wako huku nae anakutafuta kwa feck email....mara ya kwanza baada ya chart anakudanganya jina na wewe unamdangny mwishow ndani ya Gest chumba anafungua akiwa amepiga zinga la mini ....huku wewe ulimwaga unakwenda job na utachelew na yeye akatumia hiyo...
najiuliza tu kama jeshi la police liko vizuri mbona wakina azuri gwanda hawajapatikana .....wakati mwingine uhai wa Mtu ni muhimu kuliko umaaruf au madaraka tunayo kuwa nayo sisi wanadamu ......sisi kaeni na siasa zenu fanyeni mwezavyo Mo na wengne warudi salama.
Uongozi wenye Busala ndo unaohitajika Hususa kweny vyama vyetu vya siasa .....na pia Tukumbuke teknologia ni kubwa kuliko tunavyo fikilia inaweza kukutia hatiani wakati wowote Tujiadhali kwa kauli zetu na mahara tuwapo....
kwan hapa kua shida gan twambizane tu.....
au ndo yale mwafrika akimfuta jasho mtoto mnasema mpumbavu
mwenye ngozi nyeupe mnasema maisha bora na mapenzi kwa mtoto.
sawa ila huu ndo uhalisia viboko 4 kwa kosa lolote ....nadhani jamii zetu za kiafrica bado sana kinacho paswa ni kumwazibu mtoto huku akiwa amekwisha tambua kosa lake hata ukimchapa viboko vinne bila kujua na kukili kosa bado unamwonea.
yaan kama mtu anaamua kujiua basi hata kukuua siwezi kuwaza ni mara moja tu anakumaliza..
wako ni wa singida huyo mwingine fanya ni kama ni njia uliyopita tu kw bahati mbaya
amekamatwa ila tukumbuke hata kama akikamatwa na kupigwa miaka kama yote jera haijalishi alisha mwalibia huyo mtoto mwonekana na hata huenda ndo kikawa chanzo cha maisha yake kuwa mabaya ....nadhan wakinana mama vile vijiwe vyenu vya umbea mvitumie kuelimishana tu si umbea
Some time unaweza usinielew kwa nn nimesema wanawake ndo viumbe katili ....najua cyo wote ila wengi ni makatili sana...
kwel ukaenda leba.....ukawapigia kelele wale madockt wakaacha kazi zao wakakusaidia tena kwa shida ukafanikiwa kuzaa ...
ukalea kwa miaka 12 mwaka wa kumi na tatu kwa kikisia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.