Pole sana hivi unafikiri Rais anafanya maamuzi kwa kutegemea majungu, ana namna yake ya kupata taarifa kabla hata hajapewa taarifa na hao wahusika kama wakuu wa mikoa
Wengi huwa wanaficha maovu yao kwa mgongo wa dini hata wauza unga wengi hujidai wako karibi sana na dini wanaswali sana na kuvaa kanzu nyeupe lakini ndio waovu wa kupindukia. Dau nae ni mmoja wao
Kusaidiwa saidiwa ndio kulikoturidisha nyuma mpaka kukatupeleka kwenye mikataba mibivu saabu ya kogopa kunyimwa misaada bora tu tunyimwe ili ipatikane njia m badala, tatizo kubwa asilimia 90 ya vijana wa Tanzania na watu wazima wengi hawajitambui hiyo ndio sababu unaona mtu mzima ana comment...
Jamaa yangu kama umesoma elimu haijakukomboa, wachina kwa taarifa yako huwa hawashirikiani na nchi yoyote kwa hasara angalia kampuni nyingi za kichina mfano za ujenzi wa barabara zinaleta wafanyakazi wao ambao huwa wanawatoa katika magereza zao kwa kifupi waharifu ndio huwa wanaletwa kufanya...
Naungana na wewe, biashara imeboreshwa kwa kiwango cha juu sana kuna sehemu siku hizi eti utaskia wanafanya massage sijui SPA kumbe ukienda huko unafanyiwa massage na mzigo unakula kama kawaida.
Una hasara sana jamaa yangu, kama ulienda ahule basi ulikariri. Kujua kiingereza sio kipimo cha uongozi kiongozi anaweza ongea lugha yake sio lazima aongee kiingereza ndio anaonekana kiongozi
Hata ningekua mimi ningekaa kimya, ni ujinga wenu watanzania mnaodhani sifa kuwa na vivutio ambavyo hamvitangazi na wala haviwapi faida. Hata ukiwa na mke mzuri hafa unamuangalia tu humpi haki yake kisawasawa jirani yako atakusaidia tu.
Kwakweli watu wa Tanzania tunatakiwa kujitambua, sioni sababu ya kum beza mtu kwa sababu haongei kingereza tena kwenye mkutano kama huo wa afrika mashariki ilitakiwa hasa wazungumze kiswahili kazi bado tunayo nawahurumia tu kizazi kijacho
Siku zote huwa nasema watu wenye mawazo madogo hawafai kuwa viongozi, Wewe unawaza kucheza cheza tu ndio maana hata mafuriko yakitokea unabakia kuleta porojo tu unawaza kucheza.
Unapoteza muda wako tu na kujivunjia heshima kama unavyojiita mzee, wananchi wamekichoka chama na wengi hawalitambui hilo, mimi ni mwanachama wa ccm lakini kura yangu ni kwa Lowassa we kaa na operation zako hizo huko huko marekani, maisha halisi wanayoishi watanzania hauyajui ndio maana hauna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.