-nord na Express ni gharama,,Exitlag ni best alternative na ni cheaper per month na ina route nzuri kwa gaming.
- shida ya Fiber ni kwa maeneo machache.
kwa VPN za gaming try exitlag. ni superb sana...ishu kubwa kwa isp wengi wa bongo ni routing.. hususani baada ya tatizo la kukatika kwa nyaya...
-Exitlag wanasolve tatizo kwa kuconnect na server yenye latency ndogo kwenda kwa selected server. Kwa mfano ukiconnect na Dubai server, Exitlag...
Sorry for late reply,,my advice kwanza inatakiwa ujue fortnite au game lolote lina server wapi jirani na Tanzania...server nyingi za jirani za games zipo south africa especially Johannesburg..
-TTCL FIBER ROUTING YAO KWENDA SOUTH SIO NZURI SANA... labda ukitumia vpn services zenye server za...
Unaweza ona kwenye izo screenshot..
Picha namba 1 ping ni 5 ukiconnect na server ya Dar es salaam.
Picha namba 2 ping ni 224 ukiconnect na server ya Johannesburg.
Picha namba 3 ping ni 219 ukiconnect na server ya Nairobi.
Picha namba 4 ping ni 180 ukiconnect na server ya Paris.
Picha namba 5...
12ms itakua kwenye server za bongo..Ingia kwenye speedtest then change server to any Johannesburg server kama liquid au vodacom..check ping yake....kwangu ttcl to any dsm server ping inakuaga adi 4ms
Niliunga vpn kwa sababu EA SERVERS zipo Johannesburg..bila vpn ping ilikua 120ms, nilivyotumia vpn ping ikawa 55ms..vpn inapungiza speed lakini speed inatosha kwenye gaming,,,in gaming latency ni muhimu kuliko speed.
Pia vpn haikuaffect speed ya internet inayofaa kw gaming....
Habari mdau,,kupitia maelezo toka Kwa staff wa TTCL walisema kuwa serikali kupitia TTCL wamewekeza Hela nyingi kwenye hii fiber project ndo maana hakuna installation fee unatakiwa kulipia tu monthly fee, tofauti na isp wengine.. na wanatazamia huu uwekezaji utalipa in long term Kwa kutegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.