Don oba
Huezi kumkuhumu mtu eti mvuta bange
Makongoro ni miongoni mwa viongozi ambao taifa linawaona na kuwategemea.na katika watia nia na kama yy atatia nia hakika ccm itakua inepata mtu sahih wa kupepwrusha bendera yake
Ni mchapa kazi na mwenye kufuata misingi ya haki na utawala wa shwria...
Kioju hujui lolote kuhusu sengerema na ukweli upo wazi,usikurupuke tuu ndg Ngeleja ni habari ya mjini na anajua anachokifanya. Kaza buti ngeleja watanzania wanakuelewa saana waache wasage lami ww mbele kwa mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.