Ningependa kujua ulimkosea nini hadi aseme amekusamehe? Baba alikuwa wapi kipindi hicho? Kwa nini unadhani uliwaona hao wachawi? Nguvu ya kukimbia na akakubeba unadhani aliitoa wapi? Kuna kitu ningependa kujua ambacho hujakisema na kukiweka wazi.
Anajifanya anajua sana ubora wa elimu ila hajali maumivu wanayopitia watoto wetu afu hajali kabisa upungufu wa walimu vijijini hali ni mbaya sana hadi wanafunzi wameanza kurudia kama zamani.
Kweli hauna jinsia ila nimekutana na kesi nyingi sana kila mtu anadai hii ni mali yangu haimuhusu mwenza wangu kuna tatizo kubwa sana africa ndoa ni taasisi unakuta mtu anathubutu kusema nyumba ni mali yangu haiwahusu watoto wangu au mke wangu unajiuliza huyu mtu ni kichaa, Tujalibu...
Kuna ukweli dogo anatumika na watu waliostaafu kwa manufaa ya kulinda heshimq yao tu kiufupi dogo sio mtu mwema kwa maendeleo ya nchi yeye kajitolea muhanga kutumika ndani ya CCM na nje hivi jiulize anawezaje huyu kuwa mwenezi wa CCM ukweli system ilishakufa ila wanawatumia watu kama hawa...
Mkuu unajua hata lile daraja la kigamboni linatakiwa kila baada ya siku au week tufanye ukaguzi wa zile cable lakini huwa sioni hivyo najua nachomaanisha hilo bwawa litakuja kuwalaza watu giza kwa mwezi mzima sisi akili zetu ni za kivyetu hazifanani na ngozi nyeupe naposema umeme wa gas ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.