Habari ya muda huu wana jamvi.
Leo naomba kuuliza swali hivi ni kwanini serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania [emoji1241] haina mpango wa kufikiria kuanza kutumia lugha ya Kiingereza kama lugha ya kufundishia na Kiswahili kikabaki kutumika kama lugha ya mawasiliano.
Ona jinsi vijana...
So far biashara ya forex bado una endelea nayo, umefikia wapi mpaka sasa ?!
Natamani niongee na wewe kwa nia ya kubadilishana mawazo na uzoefu kwenye suala la forex trading.
Hongera sana kwa ku share story yako imenifunza kupambana bila kukata tamaa.
Wakuu Habarini za muda huu, naomba kuuuliza eti Hospitali ya Aga khan ipo
Wilaya gani ?
Tarafa gani ?
Kata gani ?
Mtaa gani ?
Nina jaza form ya interview hapa sasa nimekutana na ilo swali, maana nimezaliwa hapo ila sijui sasa hizo taarifa.
Naombeni MSAADA wenu ndugu.
Hello habari wana jamvi, kwa mtu yoyote mwenye kampuni ya kusafirisha mizigo kutoka Tanzania kwenda nje ya Tanzania, ninataka kupeleka vitunguu Gaborone, Botswana vitunguu gunia 80, sasa hapo nafikiri nitahitaji gari aina gani kati ya fuso au scania ?
Alafu nahitaji kujua gharama zake mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.