Dodoma kwa sasa ni kuzuri mimi nimehamia nina kama mwezi nimehamia kikazi, fursa zipo nyingi tu ukituliza kichwa na ukiacha pupa, watu ni wakarimu sana, changamoto ya dodoma ni maji na kodi za nyumba, mfano maeneo yaliyochangamka sana kama makulu, chidachi, ilazo, na mengine mengi nyumba hugusi...
Habari ndugu wana jukwaa, naomba kwa wazoefu wa Dodoma hasa maeneo ya Chidachi, Makulu, Mkonze na Kikuyu, mnisaidie natafuta nyumba ya kuishi, walau iwe na vyumba viwili na sebule, choo, jiko, maji, umeme.
Bajeti yangu haizidi 200k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.