Recent content by Gideon S Kijjamunu

  1. Gideon S Kijjamunu

    Hii ndiyo maana ya jina Lowassa

    Leo hii tumekuwa watu wa kujadili majina badala ya kujadili sera za wagombea wetu! Hii ndo Tanzania.
  2. Gideon S Kijjamunu

    Prof. Sospeter Muhongo achukua fomu ya kuwania Ubunge Musoma Vijijini

    Upande wangu, sina hata shaka nae. Ni mchapakaz, na naamini duru hii hatofanya mzaha hata kidogo. Wananchi wampigie kura kwa nguvu zote.
  3. Gideon S Kijjamunu

    Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

    Saaaafiiii
  4. Gideon S Kijjamunu

    Prof. Sospeter Muhongo achukua fomu ya kuwania Ubunge Musoma Vijijini

    Leo nampongeza aliyewahi kuwa waziri wa nishat na madin ndg prof Muongo. Nampongeza kwa jambo moja tu, kipindi cha uongoz wake amefaulu kusimamia suala la umeme kufika kwetu Matombo Morogoro. Tangu nchi ipate uhuru miaka 50+ iliyopita, Matombo umeme tumeanza kuonja ladha yake 2014 kweli...
  5. Gideon S Kijjamunu

    CCM mnachanja mbuga kwenda kichakani

    Cock n bull story. Nawe mtazamo wako umekuwa hauna tofaut na huyu mzee Kingunge. Ccm itaendelea kuwepo coz Magufuli nae ana rasilimali watu tena wale wapigaji kura ambao wanaiangalia siasa katika mtazamo wenye mashiko. Tuna imani na Magufuli, hopin atasimama kama inavyotakiwa.
  6. Gideon S Kijjamunu

    Je, kwa haya rais wa CWT na TUCTA anahitaji kuwafundisha watumishi Uchaguzi 2015

    Walimu wana mazingira magumu sana. Sijafanya tafiti ya kutosha lakin kwa upande wa Morogoro hususani Morogoro vijijini walimu wananyanyasika sana katika suala zima la ufuatiliaj wa mishahara yao. Unakuta wanavunja shughuli zao na kufuatilia mishahara tena umbali mrefu ambao unawagharimu wapande...
  7. Gideon S Kijjamunu

    Milioni 300 alizopewa na Edward Lowasa zaendelea kumtesa Kingunge Ngombale Mwiru

    Yupo sawa isipokuwa hofu yangu ni kwamba hivi huyu mzee hayaoni yanayotendeka bungeni mbona huwa hapazi sauti yake au ndo anataka atufanye tuamin kuwa amepewa pesa na Lowassa?
Back
Top Bottom