Recent content by gichuri

  1. G

    Tumeacha kujadili 'Budget' tumepewa Chalamila tumjadili

    Mwanasiasa mmoja aliwahi sema 'Watanzania wana akili kama za kuku' kuku huwa anatabia ya kusahau haraka sana. anaposogelea ama kula nafaka ya bosi wake, huwa anafukuzwa kwa kutumia ka sauti fulani hivi ambako huwa hakana madhara kwake. Haitachukua muda atarudi tena palepale alipofukuzwa. this...
  2. G

    Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

    Sasa naanza kuelewa kwa nn wale jamaa walitaka kupora urais wa mama. Ni kweli kwamba mwanamke hawezi kuwa rais bora hapa Tanzania? Bado naamini imawezekana. Mama, Mh. Suluhu Rais wangu, mwenye jinsia ya kike. Fanya jambo juu ya waziri huyu mzembe ili wasioamini utendaji wa mwanamke wakuelewe vizuri.
  3. G

    Nakubaliana na hoja ya Spika: Serikali iajiri walimu wengi wa kiume kuliko wanawake

    Kwa spika serikali kutoajiri walimu wa kike sio ubaguzi, ila covid19 kufukuzwa na chama chao kwa kuwa ni wanawake ndo ubaguzi. Nimemuelewa spika wangu. Haya buana, kazi iendelee
  4. G

    Tusubiri vituko teuzi za maDC na maDED

    Tanzania hii, kumbe bado sana. Wakati tunafikiri tukimbie kwa speed kubwa kuelekea mafanikio kwa kuwa na viongozi wenye weledi, uelewa na uthubutu, wengine wanatamani "kila mtu apate" kwa kuwa tu eti in mtanzania. Basi itoshe kusema safari yetu bado sana.
  5. G

    Kwanini CHADEMA hawataki kudai Katiba mpya au hata kudai Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuanzia?

    Je unafikiri ni CHADEMA tu ndiyo yenye jukumu la kudai katiba mpya na Time guru ya uchaguzi? Mbona kuna na vyama vingine kaka, au vyenyewe jukumu lao ni lipi?
  6. G

    TAMISEMI njooni muondoe wezi Tanga Jiji na Mkinga

    "Hata kesi za kinidhamu hawawashirikishi watumishi kwenye ofisi zao" Makatibu wasaidizi wa TSC Wilaya, wamewafanya watuhumiwa wa kinidham kuwa saccos. Tena wanakutana na watuhumiwa majumbani, sehemu zenye starehe n.k. Lkn pia, taarifa za kimanunuzi so za kweli hata kidogo. Wananunua risit za...
  7. G

    Lengai ole Sabaya akutwa na ukwasi wa Tsh. Bilioni 3 baada ya kupekuliwa

    Sabaya afunguliwe pia kesi ya uhujumu uchumi kama yeye binafsi alivyokuwa akifanya kwa wanyonge wengine.
  8. G

    Lengai ole Sabaya akutwa na ukwasi wa Tsh. Bilioni 3 baada ya kupekuliwa

    "Namwachia Rais afanye kazi yake" kauli hii inaonyesha wazi kulikuwa na kikwazo some where kilichozuia hata Mkuu wa Mkoa (Anna Mgwira) kumdhibiti Sabaya kuachana na matendo yake maovu kwa wananchi. Yale machozi msibani yalibeba ujumbe mpana sana.
  9. G

    Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

    Alikuwa anazuia au yeye ndo aliongoza genge lake kufanya magendo na kupora na kudhulumu Mali halali za raia wa Tanzania ndani na nje ya mipaka ya eneo lake la uongozi? Mama hakukosea. Atoke tu wa Tanzania hatuhitaji viongozi wa aina hizo kabisa.
  10. G

    Mkopo wa dola milioni 500 wenye riba ya dola milioni 400? Huu ni unyama na ufisadi!

    Ni sawa tu, mbona tuliokopa bodi ya mikopo ya Elimu ya juu tumepandishiwa asilimia za malipo kwa mwezi na kama ulikopa 50% unalipa 100%? Tunashangaa nini wakati serikali yetu inatukopesha na kutulipisha kwa mtindo zaidi ya huo? Mi naona ndo maliba ya Siku hizi hayo.
  11. G

    Ni sahihi kwa mbunge kuinanga serikali yake akiwa nchi jirani?

    Wapeni Uhuru wa kujieleza via mikutano ndani ya nchi yao muone kama wataongelea mambo yao nje. Mmeyataka wenyewe.
  12. G

    Rais wa Chama Cha Mawakili Tanganyika(TLS), Tundu Lissu alipobariki uminywaji wa kudai Haki Mahakamani

    Kweli JF sasa, hata kichaa anapata nafasi ya kutoa ya moyoni. Msomi gani unashindwa kutofautisha katiba ya chama cha siasa na matakwa ya kisheria nje ya katiba ya chama cha siasa? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. G

    Baada ya onyo la Rais Magufuli kwa UVCCM (Sadifa na Shaka), TAKUKURU kufa na wafuatao

    Hawa wote waliotajwa watakuwa chadema. CCM hawapendagi rushwa kabisa. CCM safiiiiiiiii! Sadifa na Shaka hoyeeeee! Hao ndo viongozi wa baadae wa serikali. Watavunja mikataba, watadharau amri za mahakama, watakula rushwa zaidi. Wathungu wanasema"like son like father" Sent using Jamii Forums...
Back
Top Bottom