Recent content by Gibrielly

  1. G

    PGM hii comb imekaaje wakuu!

    Wakuu napiga comb hii ila na wasiwasi nayo ! Je nini nifanye kuikabili?
  2. G

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Mi na Bios na geography credits. Wakuu naweza kurisit huku napiga form five.
  3. G

    vyuo vya Udaktari'' Arusha

    Kam college kipo dar, st luke kipo moshi.
  4. G

    Kuelekea matokeo ya form six, siri nzito yafichuka

    hili lis..enge limetoka wapi hii siyo jamvi ya kupigia KAMPENI.
  5. G

    Matokeo kidato cha nne 2012 kutangazwa tena wiki hii

    daah still mpaka alhamisi hii bado tu. sidhani wiki hii watamaliza
  6. G

    Anayefahamu website za vyuo vya afya vya serikali!

    Mshua nashkuru kwa ubinadamu wako ila hizi web unahakika nazo au zimefungiwa kwa kuwa azifunguki bro!
  7. G

    Vodacom wamezidisha wizi

    Mimi nikuhusu hii huduma ya my no1.utakuta nimetupia vocha ya 1000 kwenye simu den wananionganisha automatiki kwa kunikata 152 hivi . Cha ajabu naongea na selekted namba mpaka 747 inaisha kwa muda huo huo. Je hii haki kwely bora waitoe tu!
  8. G

    Mwalimu mwenzenu naonewa.bofya ufaidi

    Utaimba tu mbona bro wangu yuko jela na anaimba.
  9. G

    Why! Result sleep za form four 2012 kucheleweshwa?

    Habari zenu wakubwa i think mko good at al kinacho nishangaza mpaka mwezi march unaisha kila siku nikienda skull headmaster anaxema bado tatizo nini wana jf na mimi nataka nitume maombi chuoni?
Back
Top Bottom