Mimi nikuhusu hii huduma ya my no1.utakuta nimetupia vocha ya 1000 kwenye simu den wananionganisha automatiki kwa kunikata 152 hivi . Cha ajabu naongea na selekted namba mpaka 747 inaisha kwa muda huo huo. Je hii haki kwely bora waitoe tu!
Habari zenu wakubwa i think mko good at al
kinacho nishangaza mpaka mwezi march unaisha kila siku nikienda skull headmaster anaxema bado tatizo nini wana jf na mimi nataka nitume maombi chuoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.