Recent content by ghwamyitu

  1. G

    Kwa mara ya kwanza naomba kumtetea Zitto Zuberi Kabwe!

    Hv bado kuna watu wanamjadili zitto zama hiz? zitto ni zilipendwa, habar ya mjini ni katiba tu. hakuna haja ya kujadili watu hapa
  2. G

    Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

    ztatimia vp wakat mnarithishana madaraka wenyewe?
  3. G

    Uchaguzi Kalenga:Je, ni litmus paper kwa CHADEMA too pay the first price of "Karma" ya ZZK ?!.

    hv kwa akili yako unadhan kushinda au kushindwa kwa CHADEMA Kalenga kutakua na uhusiano na zitto? kweli nmeamin tanzania hatuendelei kwa sababu kuna watu wanaofkir km ww!! huna hoja kaz kuropoka. una uwezo wa mdogo hapa sio sehem yako labda facebook
  4. G

    Muarobaini wa kuibuka kwa vyama zaidi vya Siasa nchini Huu Hapa!

    vtazaliwa ving sn, ila vtakufa vkiwa vchanga, km CHADEMA haitoitoa ccm madarakan bas ccm itatawala zaid ya miaka 50, hao wanaoanzsha chama leo wafocus kushka dola miaka 20 ijayo.
  5. G

    MNEC Antony Mavunde na Jerry Slaa watua Kalenga na kampeni ya Baiskeli

    kwa pcha hizo ctashangaa nisikia mtu kafumaniwa na mke wa mtu
  6. G

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    ole sendeka amemuomba rais kikwete ampe uwaziri wa katiba na sheria, hii inaonesha ni jinc gan amemkubal jamaa. japo anaamin kbs rais hampendi lissu na kikatiba haiwezekan
  7. G

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    Tundu lissu hana mfano wake humo mjengon!! ana kipaj cha sheria na anakitumia ipasavyo, huyu mtu ni kichwa
  8. G

    Nauza bodaboda

    mi npo dar !!, upo mby maeneo gan mkuu?
  9. G

    Yanayojiri Bungeni Dodoma leo March 08, 2014

    Km kura itakua ya waz bas ccm washapiga bao, tusubir katiba ya ccm na sio ya wananchi wa TZ
  10. G

    Nauza bodaboda

    Wadau nauza boda boda iliyo kwenye hali nzr ukihitaj ntafute kwa namba hii 0757537374
  11. G

    Nahitaji piki piki kwa 800,000/=

    Mimi ninayo naiuza nitafute kwa namba hii 0757537374
Back
Top Bottom