Wamechutama sana waramba makalio kwa miaka zaidi ya 60...
Matokeo yake ni:
Deni kukua
Ufisadi kukua
Wizi serikalini kukua
Kipande cha barabara kutoka ubungo hadi mbezi kinajengwa tokea 2012 hadi leo 2025 ujenzi unaendelea hapohapo.
Sad
Kwan Trump kukata misaada inampact gani? Si mtaongezewa tu tozo hapo
Me nilichokua naamini kwa chama ambacho kimeshika dola, kwakua ndo kinaratibu mipango yote na fedha za walipa kodi, promotion yake kwa jamii ilikua ni kupitia:
Huduma safi kwa jamii
Miradi iliyotimizwa
Mipango mikakati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.