ki ukweli haki imeenda rikizo ktk jeshi la polic kitendo hicho cha kinyama kinafanywa na kiongozi huyo ni dhambi,ndugu jaribu kupita kushoto tafuta ushaidi wowote nitakusaidia broo
mkuu mie mwenyewe nashangaa thana,nilikuwa nafanya mawacliano kati ya tanzania na sudani kiukweli nilipoteza mawasiliano na wa2 wengi thana ndani ya miezi 8 niliyokuwa hko labda wale ambao 2nakutana fb,gmail,yahoo n whatsapp aibu kweli
JK ni chaguo la wanacmm we pimbi usimpe mungu kasha bhana,kama vp si engekuwa papa amalize mkataba asepe hana jipya aje kukuongoza ww mwenye imani juu yake
mkuu huyu jamaa anajitahidi kupeleka huduma zake tanzania nzima na kweli ktk maisha ya wik nzima lazima umchangie chochote kumuepuka ha2wezi basi ajaribu kuzijari afya ze2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.