Dutch master
The boss hizi ninatumia niliwa na boss. mie hela zote hizo nitatoa wapi.. ila muhimu utoe ushauri kuliko kuniweka kama niko polisi kwa maswali mengi.
Salamu kwenu MMU,
Ni binti mtanzania, ninavuta sigara tangia nilipomaliza tu high school hadi leo nimemaliza chuo nimeajiriwa mahali. Kazi yangu inaniweka busy sana kiasi napatikana mjini kwa nadra.
Ni mekuwa na stlye yangu tofauti ya maisha kwamba naishi nitakavyo no matter what my family...
Asanteni sana kwa maoni yenu, nimeyapata na nitajaribu kuyafanyia kazi kulingana na kile ninachoamini kwa sasa, kuhusu afya yangu, ninajua ni jukumu langu kujionea huruma kabla ya kuonewa huruma, ila all in all nitaishi kisanii kama ambavyo dunia iko kisanii
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kuwa cheater, uzoefu wangu kwenye maswala ya mahusiano umekuwa sio mzuri japo nilijitahidi kuwa mwaminifu sana. Kuwa single siwezi , solution ninayoiona ni kutokuwa serious kwenye mahusiano na kudanganya kama ambavyo wengi wamekuwa...
Nimejitambulisha kwa wana MMU mod wakaifuta thread yangu, nimerudi tena wapendwa wa MMU, nipokeeni tujenge mapendo daima, kupitia mapendo nchi yetu itakuwa na amani teleeeeeeeeeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.