Sawa, Gekul umesikika lakini siamini kuwa huna back up. Ulitokatokaje chadema ukaenda huko na kupata vyeo vyote hivyo huna back up? Nadhani kama kweli umefanya hicho kitendo, back up wameona wasijihusishe na hii aibu. Pambana, ukizama, ndio imeenda.
Sidhani kama kuna shwain kukuzidi wewe unayeishi kwa kutegemea damu za watu. Na sasa bwawa linakauka washenzi wakubwa nyie.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hii nchi kwa akili kama yako tutasubori sana. Kwani askofu anatoa maoni kama askofu au kama mwananchi? Kwahiyo kama mtu ni askofu anakosa haki ya kuwa mwananchi? Ccm imefanikiwa sana kwenye hili eneo.....
Ole Mushi huwa unakosea sana unapodhani kuwa siku zote wakati wote mawazo yako huwa ni sahihi. Hapa na wewe umekosea sana kwa hili andiko lako. Kwanini utangulie kuiona dini ya mtu kabla ya utu wake? Kuna taarifa umeletewa kuwa kuna watu wa Islam wamenyimwa nafasi ya kutoka mawazo yao katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.