Hapa kigoma vijana wamejiajiri kupitia bodaboda na imesaidia sana kiuchumi lakini kuna changamoto kubwa wanazo kutana nazo, kwanza wanakutana na abiria ambao cio watu wema na uwakodi na kuishia kuuwawa ama kujeruiwa, kiufupi waaarifu wengi uwakodi kwa lengo la kuwapora pikipiki zao, pia...
kuchukia vyombo vya ulinzi kama majeshi ya wananchi,police na magereza ni kukosa akili, ile ni ajira na ina taratibu zake, inamaana watu wakatae kujiunga na majeshi ili wakae vijiweni kunywa kahawa na kubishana juu ya vitu vya kijinga kama NANI TAJIRI KATI YA RONALDO NA MESI
Habari zenu wakuu mbalimbali,
Mimi nina ndoto za kufungua kampuni ya kusaidia watu wenye mazingira magumu pamoja na Marginalized populations wote, nitashughulika na kusaidia malazi, chakula, nguo, afya, na kutoa elimu ya ujasiriamali.
Kiukweli inaitaji gharama kubwa sana lakini kama...
asingekubali, cha ajabu yule dada alijipoteza af akamwachia uyo wakuitwa prof.raymond eti anitumie iyo mizigo yeye kaenda HAITI kikazi na hatopatikana ewani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.