Recent content by gerrald

  1. G

    Ni bora kununua gari yenye kilometa 200,000 kutoka Japan kuliko kununua gari yenye kilometa 50,000 Tanzania

    Hua wanarudisha kilometers nyuma,agiza Japan moja kwa moja,au nenda kampuni ya janjapan hawa hawachakachui kilometre
  2. G

    Nyie wakuitwa manabii na mitume kwa nini wote mnakimbilia Dar? Kwani huku wilayani hakuna asiyehitaji upako wenu?

    waende na Simiyu,Kondoa,katavi,Mbinga sio kulundikana Mjini,Pembezoni mwa nchi Watu ni wengi wanahitaji Huduma za kiroho
  3. G

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    😄😄😄😄Namuona kenyonyo kapanda juu ya meza 😄😄😄
  4. G

    Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

    Features zake zipoje tukiingia tuwe na mzigo kamili
  5. G

    SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

    Mungu huyo huyo alileta gharika Duniani enzi za nuhu,na wakishupaza shingo mapigo bado 😁
  6. G

    SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

    Miezi michache imepita Tetemeko -uturuki ,likaenda piga Morocco,jana Libya imepigwa na mafuriko watu 2000 wamekufa na zaidi ya 10000 hawajulikani walipo,wengine wamesukumizwa baharini huko Ni Mwendo wa Mapigo tu kwa Waarabu mpk wamrudie Mungu wa Kweli😇 Na Nyie Mnaolia lia humu Gharika wakati...
Back
Top Bottom