Recent content by germve

  1. germve

    Yesu anaipenda JF, ni Mwana sio anavyotangazwa na walokole

    Na lugha yenu ya kuwahukumu na kuwatenga watu kwa unafiki siiwez germve himself
  2. germve

    Yesu anaipenda JF, ni Mwana sio anavyotangazwa na walokole

    This God man alikuja ni Mungu akijua ni Mungu lakini kwa sababu kumuelewa Mungu ni ngumu ikabidi awe sisi ...rejea Zakayo...Malaya Magdalene...nk Muda wote alisisitiza tusimiss judge ..think out the box... Nawapenda madada poa wa Buguruni Sinza na wote...nawapenda wote JF hadi washirikina that...
  3. germve

    Wanawake wa Dar ni wasafi na pia wanajua kujiremba na kupika kuliko wa mikoani

    Wala usijichoshe mkuu...nawa tu miguu germve himself
  4. germve

    Kama ni wewe utafanyaje

    Mapenzi yako kwake yalianzia kwenye daladala baada ya kuvutiwa na urembo wake. Namba ya simu uliyoichukua ndiyo iliyowafanya leo hii mtimize mwaka mmoja ndani ya mahusiano yenye mapenzi motomoto. Ndugu na rafiki zako wote wamemkubali kwa umbo na tabia! Na sasa umeamua kuoa. Juzi mkiwa na mkeo...
  5. germve

    Dada kunawagharimu mno kuliko wanaume

    Kwa hivyo hutakuwa mhanga kama Rhoda ila sijajua athari zake kwako sasa germve himself
  6. germve

    Dada kunawagharimu mno kuliko wanaume

    Thanks mkuu germve himself
  7. germve

    Dada kunawagharimu mno kuliko wanaume

    Tena usiku mkubwa hahaha germve himself
  8. germve

    Dada kunawagharimu mno kuliko wanaume

    Sio yangu nime c&p germve himself
  9. germve

    Kesho ni leo, uitendee haki leo

    Usiogope ...Muombe Mungu wako tuu..mengine kuyakwepa kwa nguvu za binadamu ni kazi germve himself
  10. germve

    Kesho ni leo, uitendee haki leo

    WAKATI NA MAISHA Time will tell! Huu ni msemo maarufu wa kizungu wenye dhima ya kutukumbusha umuhimu wa matumizi mazuri ya muda. Hakuna asiyejua kuwa kwenye maisha kuna kipindi cha neema na kipindi cha dhiki (changamoto). Kama ile simulizi ya miaka saba ya neema na ile miaka saba ya njaa...
  11. germve

    Dada kunawagharimu mno kuliko wanaume

    BLEEDING LOVE Isingekuwa rahisi kujizuia. Angewezaje kujizuia ikiwa mashoga zake karibu wote walikuwa na michepuko yao, na bado ndoa zao zikabaki salama vile vile? Shoga yake aitwaye Amina alikuwa anachepuka na Mwarabu mmoja mfanyabiashara maarufu wa Arusha. Mchepuo wao ulianzia kwenye...
  12. germve

    Je wewe hapa JF unampenda nani(Sio kimapenzi)

    Cacajojo germve himself
  13. germve

    JamiiForums Usiku wa manane

    Na Saint Ivuga mnaendeleaje germve himself
  14. germve

    JamiiForums Usiku wa manane

    Saint Ivuga upo... germve himself
  15. germve

    A lonely girl and good charter let's do it now

    Cocktail mastory tuu...na wewe ni lonely kweli germve himself
Back
Top Bottom