habari jf doctor.
Nina miaka 27.Awali nilikuwa siijui tarehe yangu ya kubleed kutokana na kitokuwa na constant date.lakn naona tatizo limeendelea kwa kukosa kabisa kuona siku zangu huu ni mwezi wa nne sasa.sijawai kutumia kitu chochote kuhusu uzazi wa mpango.nahitaji mtoto ila siku sizioni...
Mwenye makosa ni mwanamke kujifanya disminder na kuachia best zake kuchat na boyfrnd.kwangu mm nshachimba biti sitaki best angu achat na my hubby.na kitu kingine kumcfia sana boy kwa shost kunafanya amtaman
Imani yangu itaniponya..huku kwetu kuna opportunity ya kufungua duka classic la nguo za watoto.i have already study about market saturation.nahitaji msaada kuhusu suppliers wa hizo nguo na accesories za watoto.kuhusu capital nataka kuingiza sokon kama 4m.msaada in detail please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.