Recent content by George786

  1. George786

    Kwanini benki hutoza wateja ada kwa kutoa pesa zao wenyewe?

    Naung mkono hoja,na serikali imefumbia macho swala hilo miaka yote,its doesn’t make sense,pesa ya mtu kaiweka na bank inanufaika nayo ila unakatwa makato ya kuangalia salio lako,,tozo za withdraw pesa,tozo za mwezi du,mabank ya kiafrica balaa sana,mi naishi baraa la europe,nchi niliyopo unakatwa...
  2. George786

    Simba tunahitaji uniform kutoka Puma, Adidas, Nike au umbro kwa hatua hii Dewji usituangushe

    Mi natamani mo aanze kwanza na bus la team la kisasa,bus la simba haliendani na hadhi ya team ilivo
  3. George786

    Kama hauna Bilioni 10 haumpati Luis Miquisson

    Acha jamaa ajipigie pesa kwa mafara uto,yule jamaa senzo hamna kitu ni jina tu alinufaika na utani wa jadi anapiga hela ndefu,watakuja stuka hana msaada muda umeenda sana,uto huwa kama vichaa
  4. George786

    Kama hauna Bilioni 10 haumpati Luis Miquisson

    Nikiona miquisson anavojitoa kwa team,na nikilkumbuka chama alivuta kama milioni 500 (kama nikweli yasemwayo)kusaini mkataba mpya na eti ndio anavuta mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote inauma sana
  5. George786

    Msaada nataka kuhamia Kampala

    Hivi kampala inazidi starehe dar kweli?maana dar watu wanakula bata sana
  6. George786

    Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

    Walikuwa mabwege dunia nzima [emoji23],mwingine alikamtwa kalala sebleni kifua wazi hahaah wabongo akili zetu dAh
  7. George786

    Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

    Kwa nilivoelewa alikuwa anazipokea kwa jina la aghakan,sasa aghakan hawana uelewa ndio maana imekaa kitambo bila kustukiwa ila wamarekani walistuka baada ya kuona haziwafikii walengwa,na bank ilivomuhoju hakurudi
  8. George786

    Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

    Ndio wabongo akili zao [emoji23][emoji23]
  9. George786

    Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

    Dollar m175 na some points,bilion 400 in shillings ,pesa ndefu sana kwa vyovyote utavoiitamka
  10. George786

    Limit ya Tigopesa ni kiasi gani?

    Mwaka jana nimeifunga account yangu ya CRDB, jamaa wezi sana, wana makato ambayo hayaeleweki yanatokea wapi, nimefungua bank ya FNB ya wasaouth Africa, tunaenda vizuri
  11. George786

    Kwa mwenye uelewa wa soko la pikipiki za mtumba toka Ulaya kwa Tanzania likoje, na kodi zake

    Ndio maaana nimeomba ushauri mkuu,niko makini sana na kwa msaada wa watu kama wewe hakuna kitakachoharibika,hii ni research tosha kabla sijalipia kitu
  12. George786

    Kwa mwenye uelewa wa soko la pikipiki za mtumba toka Ulaya kwa Tanzania likoje, na kodi zake

    Nina mpango wa kuleta hizi kitu bongo siku za usoni,nani mwenye uelewa kwanza wa kodi zake kwa moja moja,au kwa container la 20ft au la 40ft kwa piki piki za aina hii used, na je soko lake bongo limekaaje?zinapendwa na kununuliwa?target yangu ni HONDA,YAMAHA AU SUZUKI
  13. George786

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Nipe muongozo,kima cha chini bei gani kwa kuangalia ili uweze Ona faida nzuri kwa muda mchache
Back
Top Bottom