Jamani hili swala sio la kukaziana macho ninachojua mimi ktk umri huu tulionao wa kwenye jamii foram bado tuko hatarini sana me hata naogopa ku-comment maana unaweza sema ulitaka mwenyewe kesho na wewe ukaja oooh jamni mm ni mwafrika....mtoto anajaa unaona kupima ya nini mbona mtoto liko vizuri...
Dada shukuru Mungu kwa mume ulienaye maana mume wa hvo tuko saba tu Tz sasa ukiliamsha dude utalia na kusaga meno huyo mnatamaniana tu wala hata hampendani kama mtu alikuwa na fursa kipindi hujaolewa sasa hivi unamtafutia nini huko ni kutokujielewa kama kweli angekupenda asingewaza hata huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.