Kama nimteja sawa sio muuza bange alafu akuchanganyie.yeye atakua anapata hasara alafu mateja kama wa tandale kariakoo nk.ningumu labda hao wenye visenti lakini wabeba uchafu wapiga debe waokota makopo hafadhali waminye watu wanaifadhi hadi vumbi la majivu walio vuta wachanganye badae tena...
Hakuna mtu atakuchanganyia.unga na bange unga bei kubwa bange bei raisi sasa jiulize mtu anauza ulanzi au komoni alafu akanunue wiski akuchanganyie ili upate kulewa vizuri siatakua mjinga
Nikapimwe vipi yani maana najitambua najiweza sasa sijui nikapimwe nini maana hata wasio vuta wengi niwapita hata kimaendeleo.kiufaham sasa sijui unamaanisha nini
Ivi unavyo fikiria ninani atakae kuuzia bangi alafu achanganye na unga bangi miatatu unga kuanzia elfu tano sasa siatakua mjinga labda uniambie marafiki alafu ni wale wenye visenti sio mateja wa tandale. Fikiria mara mbili
Kuhusu katiba kasemaje hau kasahau nani alimuambia nchi inaendeshwa kwa katiba ya kutunga hapohapo maana katiba inatoka kichwani kwa muheshimiwa siasaaaaa
Kwani bangi inamatatizo gani mnaacha kuongelea maviroba mnaongelea bangi watu maharufu viongozi wakubwa wasomi wakubwa wengi wanatumia bangi hata mataifa makubwa wanatumia bangi ninyinyi tuu maskini alafu mnakataza bangi lakini viroba ruksa mimi mwenyewe ni mvutaji nina zaidi ya miaka kumi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.