kitu pekee ambacho unakosea ni pale unaposema unataka kujaribuu.Unataka kujaribu coz yu dont trust the system au info given,yaweza kuwa ni info ambazo hazijajitosheleza ,au ndo yale mambo ya kaumbiwa huku kuna helaa na wee unataka kuingia tu!!!!
nikushauri kitu kidg ,ingia chimbo kula vitabu...
The utility ya bitcoin haionyesh kama itakufa anytime soon.ukiisoma ile whitepaper ya bitcoin nakuangalia matukio ya kiuchumi utakuja na mawazo tofauti na mtazamo tofauti juu ya digital currency na hela za kawaidaaaa.The world is advancing so as the finacial system
Everything in the world needs changes.Dunia inahitaji mabadiliko katika kila nyanjaa!!.
kadri miaka inavyosogea tunahitaji vitu ambavyo tutaendana navyo sambamba haswa katika Afya,Fedha,Usafiri,Miundombinu,Viwanda,vyakula na mengineyo.Hakuna wakuyapinga haya mabadiliko,kama mabadiliko haya...
Focus, dont compete huu ni msemo wangu kutoka kwa kaka angu clint travellah.sinungu`iniki sina viatu wenzangu hawana miguu huu ni kutoka kwa gwiji Mwana falsafa. Ntakushauri kitu mzee kwa kila kitu ulichonacho kumbuka kumshukuru mungu, kuwa Darasa la 7 sio kama huwezi kitu au kujiona huna...
Kwenye magari kuna ma oligach wengii angeanza na za pikipiki meaning kufanya services za pikipiki na bajaj zitamtoa taratibu 2M kwa kuanzia, kisha kaingizaa pesa tena katika magahawa wa kisasa 2M kwa kuanzia sio mbaya, tena akaingiza pesa katika usafiri meaning bajaji zake kadhaa labda 2 tu...
Maneno yatakayo andikwa hapa mengi yanweza kuwa yakukatisha tamaa, ya kuumiza na mengi pia yatakuwa mazuri ya kuvutia kiasi kutakuwa na ugumu katika utekelezaji. Kitu moja wapo kwa sasa ni umkumbuke mungu kwa imani yako na kumpa kipaumbele katika fikra zako huku ukiaangalia nini cha kufanya...
Hizi biashara zimekuwa miaka na miaka sana , na chaa ajabu hizi business zinakufanya upate fedhaa kiasi tu wala hata sio kukutajirisha moja kwa moja na kuna sababu kwann hizi kikwetu hapa bongo zinafanya watu waone yakuwa haziwezi kuwawekea doo ya kusurvive hata 5 years bila ya kuvuja jashoo...
yes upo sahii mkuu.Alfu ukiingia sokoni ka stage eyo ya rejareja unaweza kulisoma soko la spare kiundani na kujua changamoto zake vizuri mno.Unajua changamoto unazitatutaje zikija na kwa wakt unauza rejareja unaanza kutengeneza good customer basee ambayo hata ukifunga mzigo wa jumla unaulaaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.