Recent content by GEORGE KALINGA

  1. G

    Matendo ya wanyama yenye kustaajabisha

    nafikiri tunatakiwa kujua vizuri zaidi masuala ya Ekolojia. Huu mfumo wa ikolojia upo kwa mpango maalum. Mbona hujauliza maswali wajapani wanaunda meli na watanzania hamna wala tembo hawaundi ndege? Mbona hujajiuliza pamoja na akili hizo tembo, fisi, na simba lakini hawajengi nyumba...
  2. G

    TANZIA: Mama Mzazi wa mbunge Zitto Kabwe, Shida Salum afariki Dunia

    Mungu amaetoa na mungu ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Nenda salama mama shida.
  3. G

    Treni za umeme na reli za juu kwa juu Dar es salaam..Shuka nayo

    isije ikawa ni kampeni za "2 zatosha" za nini? Pale mhimbili madaktari wanalalama vifatiba hakuna. Mwananyamala akinamama wajawazito walala kitanda kimoja wawili ikiwa hata kwa walijifungua. Madawa ya kurufusha maisha dhidi ya wanaoish na virusi vya ukimwi pamoja na kondomu zazalishwa fiki...
  4. G

    Treni za umeme na reli za juu kwa juu Dar es salaam..Shuka nayo

    mambo yamekuwa mpwitompwito Tanzania. Flying over na mladi wa mabasi yaendayo kasi haujakamili leo watungazia treni za umeme. Kuna wilaya nyingine umbali wa km60 unatembea masaa 6 kwa namna barabara zilivyo mbovu. Hata huo mkongo wa taifa ifakara, tundulu na ludewa sijui kama umefika. Hivi...
  5. G

    Wabunge watatu wa CCM wauza unga wajisalimisha

    Mimi naogopa sana! Kama hii ni tume au ni kamati??? Kigugumizi cha kutaja majina cha toka wapi? Watu 61 wamesababisha vifo vya watanzania lukuki. Na wengine wengi wameathirika na madawa haya. Kama ishu ilikuwa ni kuwabaini na waombwe kujitokeza na baada ya hapo msamaha hakuna haja ya...
  6. G

    Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

    Huwezi fikiri kuna utawala wa sheria.
  7. G

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Kama wamethitika kuwa na kasoro za kufikia hapo ni maamuzi mazuri na makini. Hapa kamati kuu CHADEMA wamefanya maamuzi magumu. Ukitaka kumwoa nyani hapana mwangalia usoni.
  8. G

    Prof. Muhongo: Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba katika uwekezaji

    Hawa wanaokubaliana na prof. Muhongo kuwa ukisoma unatakiwa kuwajibu hivyo watu wanaohoji ukweli wa mambo ulivyo, mimi nisema tu tuwapeleke maabala wapimwe uwezo wa ubongo wa kuweza kuchanganua mambo. Suala la kuona umaskini wa watu wanaozunguka migodi kule mwadui, geita na mererani inatakiwa...
Back
Top Bottom