Matendo ya wanyama yenye kustaajabisha

Matendo ya wanyama yenye kustaajabisha

7. WANYAMA WOTE HUFANYA TENDO LA NDOA KM A REPRODUCTIVE PROCESS (wanyama wana akili, wanajua starehe ziko nyingi, bninadam tendo hilo kn wkt si tu starehe bali ni biashara)

Naona bado hujawajua sokwe (chimpanzees, gorillas) wewe!
 
Hao wanyama unasema wana akili kuliko binadamu at the end binadamu ndo anayewatawala. binadamu hana nguvu za kuua tembo ila amatengeneza kifaa cha kuweza kumuua tembo kiitwacho bunduki.Kusema mnyama ana akili kuliko binadamu hiyo ni kufuru. Ndo ni matusi kumuambia mtu ana akili kama za mnyama. Mnyama hana reasoning kabisa anaishi kwa insticts kama alivyosemammoja wa wadau hapo juu ndo maana anaweza akajamiana na mama yake. Binadamu amabaye anajamiana na mama yake anafananishwa na mnyama. Hujiulizi kwanini? Nenda kajipange tena uje na thread ya maana. Jengaa taifa acha ulalamishi

Usikurupuke,kuna aya kwenye quraan inayo tutaka sisi binaadam tuishi kwa mazingatio kama anavyo ishi mdudu nyuki kwani mdudu nyuki maisha yake yana mazingatio kwa binaadm mwenye akili.
 
Usikurupuke,kuna aya kwenye quraan inayo tutaka sisi binaadam tuishi kwa mazingatio kama anavyo ishi mdudu nyuki kwani mdudu nyuki maisha yake yana mazingatio kwa binaadm mwenye akili.
Tunaongelea in general sense. Wewe ndo unakurupuka
 
SOMETIME ANIMALS ARE CLEVER THAN HUMAN BEINGS! CHECK OUT THESE CASES!
1. SIMBA HUMFUKUZA MNYAMA WAKIWA PARALLEL ILI KUPUNGUZA UMBALI BAINA YAKE NA ANAEMFUKUZA (hapa SIMBA ana akili kuliko BINADAMU na hususani wakati kumfukuza mwizi)

2. FISI NDO KIUMBE PEKEE DUNIANI MWENYE MAZIWA YENYE 100% CALCIUM, 7BU NI KUWA YY HULA MIFUPA! (hapa napo FISI ana akili kuliko BINADAMU mpenda vilaini, visivo na umuhimu wowote ktk mwili!)

3. PANYA YEYE HUUMA NA KUPULIZA (PANYA ana akili kuliko MAFISADI wasiojua kupulizia, daah nimekumbuka IPTL, richmond, UDA, hii nchi hii)

4. TEMBO ndio mnyama ambae namna yake ya kula inamruhusu kupitisha chakula puani, (hapa TEMBO ana akili kuliko binadamu ambao wameupa mdomo kazi ya ziada ambayo nitaitaja baadae nikirudi!)

5. TWIGA HULA MAJANI YA JUU KABISA KTK MTI (hapa TWIGA ana akili kuliko MAFATAKI wote duniani wanaokula mpaka vifaranga!)

6. TEMBO HUMKATISHA MWANAE KUNYONYA MARA MTOTO HUYO ANAPOANZA KUOTA PEMBE, ZILE PEMBE HUMUUMIZA MAMAKE WKT WA KUNYONYA! (hapa napo TEMBO ana akili, maduu wa kibongo hawanyonyeshi ili matiti yazidi kusimama straight na kuendelea kuwavutia wanaume!)

7. WANYAMA WOTE HUFANYA TENDO LA NDO KM A REPRODUCTIVE PROCESS (wanyama wana akili, wanajua starehe ziko nyingi, bninadam tendo hilo kn wkt si tu starehe bali ni biashara)

8. TEMBO ANA UWEZO WA KUANGUSHA MITI MIKUBWA HADI MI4 KWA SIKU, LKN HAFANYI HIVO, ANATUNZA MAZINGIRA! (vp binadam hawaishi porini lakini ndo wanaongoza kwa uharibifu wa mazingira, bado tembo ana akili zaidi)

Nawauliza tena, mmeamka?

nafikiri tunatakiwa kujua vizuri zaidi masuala ya Ekolojia.

Huu mfumo wa ikolojia upo kwa mpango maalum. Mbona hujauliza maswali wajapani wanaunda meli na watanzania hamna wala tembo hawaundi ndege?

Mbona hujajiuliza pamoja na akili hizo tembo, fisi, na simba lakini hawajengi nyumba. Barabara na mashule badala yake wao usiku na mchana polini maisha yao yote.

Hiyo ni namna tu ya namna vitu vilitengenezwa na mora ndugu yangu.
Haipo siku binadamu akafanana na myama wa aina yoyote, utofauti wao upo katika UKUAJI, MIJONGEO NA HATA MAUMBILE.
Alamsiki.
 
SOMETIME ANIMALS ARE CLEVER THAN HUMAN BEINGS! CHECK OUT THESE CASES!
1. SIMBA HUMFUKUZA MNYAMA WAKIWA PARALLEL ILI KUPUNGUZA UMBALI BAINA YAKE NA ANAEMFUKUZA (hapa SIMBA ana akili kuliko BINADAMU na hususani wakati kumfukuza mwizi)

2. FISI NDO KIUMBE PEKEE DUNIANI MWENYE MAZIWA YENYE 100% CALCIUM, 7BU NI KUWA YY HULA MIFUPA! (hapa napo FISI ana akili kuliko BINADAMU mpenda vilaini, visivo na umuhimu wowote ktk mwili!)

3. PANYA YEYE HUUMA NA KUPULIZA (PANYA ana akili kuliko MAFISADI wasiojua kupulizia, daah nimekumbuka IPTL, richmond, UDA, hii nchi hii)

4. TEMBO ndio mnyama ambae namna yake ya kula inamruhusu kupitisha chakula puani, (hapa TEMBO ana akili kuliko binadamu ambao wameupa mdomo kazi ya ziada ambayo nitaitaja baadae nikirudi!)

5. TWIGA HULA MAJANI YA JUU KABISA KTK MTI (hapa TWIGA ana akili kuliko MAFATAKI wote duniani wanaokula mpaka vifaranga!)

6. TEMBO HUMKATISHA MWANAE KUNYONYA MARA MTOTO HUYO ANAPOANZA KUOTA PEMBE, ZILE PEMBE HUMUUMIZA MAMAKE WKT WA KUNYONYA! (hapa napo TEMBO ana akili, maduu wa kibongo hawanyonyeshi ili matiti yazidi kusimama straight na kuendelea kuwavutia wanaume!)

7. WANYAMA WOTE HUFANYA TENDO LA NDO KM A REPRODUCTIVE PROCESS (wanyama wana akili, wanajua starehe ziko nyingi, bninadam tendo hilo kn wkt si tu starehe bali ni biashara)

8. TEMBO ANA UWEZO WA KUANGUSHA MITI MIKUBWA HADI MI4 KWA SIKU, LKN HAFANYI HIVO, ANATUNZA MAZINGIRA! (vp binadam hawaishi porini lakini ndo wanaongoza kwa uharibifu wa mazingira, bado tembo ana akili zaidi)

Nawauliza tena, mmeamka?

Nitafautiane nawe kwa maeneo mengi. Fisi anauwezo wa kula mifupa kwa sababu ana meno magumu kuliko mnyama yeyote wa nchi kavu. Ana kiasi kikubwa cha tindikali ya hydrochloric inayohusika na kumeng'enya hiyo mifupa kuliko mnyama mwengine. Hapo ni u smart wa fisi au ni majaliwa ya kimaumbile? Kuhusu simba kumfukuza mnyama kwa usambamba siyo tu kupunguza umbali lakini pia kujilinda na mateke kutoka kwa windo lake. Labda la wanyama kujamiana wakati wa kuzaa hilo ndilo ambalo wanyama wametuzidi wanaadamu.
 
SOMETIME ANIMALS ARE CLEVER THAN HUMAN BEINGS! CHECK OUT THESE CASES!
1. SIMBA HUMFUKUZA MNYAMA WAKIWA PARALLEL ILI KUPUNGUZA UMBALI BAINA YAKE NA ANAEMFUKUZA (hapa SIMBA ana akili kuliko BINADAMU na hususani wakati kumfukuza mwizi)

2. FISI NDO KIUMBE PEKEE DUNIANI MWENYE MAZIWA YENYE 100% CALCIUM, 7BU NI KUWA YY HULA MIFUPA! (hapa napo FISI ana akili kuliko BINADAMU mpenda vilaini, visivo na umuhimu wowote ktk mwili!)

3. PANYA YEYE HUUMA NA KUPULIZA (PANYA ana akili kuliko MAFISADI wasiojua kupulizia, daah nimekumbuka IPTL, richmond, UDA, hii nchi hii)

4. TEMBO ndio mnyama ambae namna yake ya kula inamruhusu kupitisha chakula puani, (hapa TEMBO ana akili kuliko binadamu ambao wameupa mdomo kazi ya ziada ambayo nitaitaja baadae nikirudi!)

5. TWIGA HULA MAJANI YA JUU KABISA KTK MTI (hapa TWIGA ana akili kuliko MAFATAKI wote duniani wanaokula mpaka vifaranga!)

6. TEMBO HUMKATISHA MWANAE KUNYONYA MARA MTOTO HUYO ANAPOANZA KUOTA PEMBE, ZILE PEMBE HUMUUMIZA MAMAKE WKT WA KUNYONYA! (hapa napo TEMBO ana akili, maduu wa kibongo hawanyonyeshi ili matiti yazidi kusimama straight na kuendelea kuwavutia wanaume!)

7. WANYAMA WOTE HUFANYA TENDO LA NDO KM A REPRODUCTIVE PROCESS (wanyama wana akili, wanajua starehe ziko nyingi, bninadam tendo hilo kn wkt si tu starehe bali ni biashara)

8. TEMBO ANA UWEZO WA KUANGUSHA MITI MIKUBWA HADI MI4 KWA SIKU, LKN HAFANYI HIVO, ANATUNZA MAZINGIRA! (vp binadam hawaishi porini lakini ndo wanaongoza kwa uharibifu wa mazingira, bado tembo ana akili zaidi)

Nawauliza tena, mmeamka?

Uliyosema ni u smart siyo kweli bali ni badiliko ya kimaumbule ili kuendelea kuishi. Fisi ana meno magumu na tindikali ya hydrochloric ili aweze kumeng'enya mifupa anayokula. Je huo ni ujaja wake? Nafikiri uzi haujaufanyia utafiti wa kutosha au umeupa kichwa cha habari ambacho siyo sahihi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom