CCM ina Rais yupi mwenye heshima Ebaeban?Mnachomhofia EL ni nn na kwani kishatangaza nia? Wajadilini waliokwisha tangaza nia au kwa kuwa mnahisi wanapoteza muda ndo mana macho yamewatoka kwa hili jembe!
Pccb na Takukuru sioni kama zina umuhimu ni kuzidi kumbebesha mlipa kodi mzigo, Rais ajae avunje hizi taasisi aboreshe elimu vijijini na kuagiza pembejeo za kilimo
Mleta mada we umejuaje kama Lowasa anautaka urais? mbona mnashindwa kufanya shuguli zenu kwa kumuwazia huyu mzee wa watu, kama ana haki kidemokrasia tusuburi muda ufike atasema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.