Recent content by George Antony

  1. G

    GE2015 Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

    CCM ina Rais yupi mwenye heshima Ebaeban?Mnachomhofia EL ni nn na kwani kishatangaza nia? Wajadilini waliokwisha tangaza nia au kwa kuwa mnahisi wanapoteza muda ndo mana macho yamewatoka kwa hili jembe!
  2. G

    GE2015 Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

    Anafaa sana, kwani nyie mnaosema ni fisadi kama mnafahamu siasa ya nchi hii mleteni msafi hapa mnaodhani hana doa.
  3. G

    Utafiti: TAKUKURU, Polisi na Mahakama wanaongoza kwa rushwa

    Pccb na Takukuru sioni kama zina umuhimu ni kuzidi kumbebesha mlipa kodi mzigo, Rais ajae avunje hizi taasisi aboreshe elimu vijijini na kuagiza pembejeo za kilimo
  4. G

    Hivi Lowassa hana washauri? Naona anapoteza muda na fedha zake bure!

    Mleta mada we umejuaje kama Lowasa anautaka urais? mbona mnashindwa kufanya shuguli zenu kwa kumuwazia huyu mzee wa watu, kama ana haki kidemokrasia tusuburi muda ufike atasema.
  5. G

    Huyu ndiye Prof. Sospeter Muhongo usiyemjua

    Yuko vzr ila ndo basi tena
  6. G

    Nauza simu: Ni Gowin M7 na Samsung Note 3 bei nafuu kabisa

    Note 3 220000? Labda ya kichina
  7. G

    Huyu ndiye mshindi wa milioni 100 za vodacom

    Hongera zake sana huyo binti
Back
Top Bottom