Kwani Dar ndo nn kanyaga South tu hapa jirani kaone mambo mnaostaajabu Dar nahisi mlikuja kwa ndg zenu kuuza mayai au maji sasa mmepata viauheni mnaleta uzi haueleweki
Huu utaratibu kama vile utanifurahisha,make sasa kila dr lazima afungue kijidispensary au kipharmacy sasa muda wote anawaza hako kakijiwe kwa maana hiyo utendaji upande mmoja unazorota.Ombi langu kwa mamlaka wachague 1 kutumika serikalini au wakatumike kwenye vijiwe vyao wawapishe wenye moyo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.