Recent content by George Anthony

  1. G

    Jambo la Kufanya Kabla Hujaja Dar

    Kwani Dar ndo nn kanyaga South tu hapa jirani kaone mambo mnaostaajabu Dar nahisi mlikuja kwa ndg zenu kuuza mayai au maji sasa mmepata viauheni mnaleta uzi haueleweki
  2. G

    Maadui watatu wa mwanaume hapa duniani

    Mtoa mada una akili nyingi sana
  3. G

    Maduka yote ya dawa nje ya hospitali za Serikali marufuku

    Huu utaratibu kama vile utanifurahisha,make sasa kila dr lazima afungue kijidispensary au kipharmacy sasa muda wote anawaza hako kakijiwe kwa maana hiyo utendaji upande mmoja unazorota.Ombi langu kwa mamlaka wachague 1 kutumika serikalini au wakatumike kwenye vijiwe vyao wawapishe wenye moyo wa...
  4. G

    Wachawi wamemchukua mwanangu

    Pole hayo ni ya walimwengu kaka
  5. G

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Service yake ni nouma na ni Toyota tu sio vinginevyo yaani service tu unanunua IST
  6. G

    Mlolongo huu wa vyeo katika wizara moja tu ni kweli unahitajika?

    Vyeo vipunguzwe kwa jinsi itakavyowezekana
  7. G

    Wizara nane kufutwa, nyingine kuunganishwa

    Kama safari za nje hakuna manaibu hawahitajiki kabisa
  8. G

    Nape: CCM tunaitamani sana Moshi

    Kwa Moshi labda Nyerere afufuke ndo wanaweza kupata
  9. G

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Sio rahisi unavyofikiria umemsahau Lukuvi aliyekua anapigwa nae jua?
  10. G

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    Huwezi kunishawishi mlichokifanya mnakijua
  11. G

    Lowassa Afunika Iringa

    Kwani kazi ya Rais huwa ni kusimama?
Back
Top Bottom