1.Ni muhimu ungetuambia kwanza ni nini kilisababisha mkae miaka mitano Bila kuoana?
2.ulikua unaishi kwake au alikua anaishi kwako?
3.kati ya wewe na yeye, ni nani mwenye uwezo mkubwa wa kifedha toka awali?
4.toka mwanzo ni nani alikua na mzuka zaidi na mwenzake?
5.kiuchumi mkoje baada ya...
Kifungu f, mara tu kabla raisi hajashika madaraka, madaraka anaanza kushika lini? Baada ya uchaguzi maana yake na anatakiwa akute baraza la mawaziri limevunjwa. Raisi hawezi vunja wakati mwenzake ameshachaguliwa . Neno mara tu kabla ya kukamata madaraka, lingepaswa kuwekewa Muda pia, kwa...
Kweli kabisa unasema, hospitali za wilaya na vituo vya afya magari ya kupimiwa, Halafu wanawake maskini wakiambia afya njema kwa mama na mtoto fyatueni, wanazaa tu vijijini halafu hawajui wanawapeleka wapi? lakini nashangaa magari 777 ya kuchapa virungu tunayapata !kumbe pesa ipo!
Waliotoka jasho wakina mbowe wenyewe, wakavumilia mabomu ya machozi na sasa wameona vema na wengine washiriki maumivu yao japo kwa Muda mfupi, hawalopoki; lakini wewe ndio unaejua mauzo. Si tuna huruma na mauzo haramu ya meno ya tembo wetu
Ni wewe unaliona hilo kosa, sisi wengine hatulioni, kikwete alichaguliwa na ninyi wananchi sio lowassa, mngeona hafai mngechagua slaa au mrema mchapa kazi, kwa hiyo mabadiliko ni pale pale
Nasikiliza Habari star TV, kumbukumbu ya mwalimu nyerere. Rais kikwete ameonya hakuna mwananchi kulinda kura, ukipiga kura unarudi nyumbani.
Labda mtu anieleweshe, ile ya hatua 200 inatokea wapi? Na kwa nini wapinzani hawakutaka hatua 50 au 1000?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.