Nachojua mimi nguvu iliyoenea ulimwenguni kote ni Nguvu ya Mungu. Nguvu hiyo ndiyo iliyovishikamanisha vitu vyote. Imeenea kote na kwa wakati wote.
Nguvu hii sayansi haitaki kuamini kwamba ndiye Mungu. Kwa sababu ya kutokuonekana kwake katika hali ya mwili, na kihalisia ubongo wa binadamu ni...
Nikuweke sawa, Pesa ni lazima ihudumu mahitaji ya familia, mwanamke hali pesa bali anasimamia pesa za familia.
Mwanamke anaye kula pesa si mke ni muuzaji kama wauzaji wengine.
Ukweli ni uhalisia wa jambo jinsi lilivyo bila kuongeza wala kupunguza. Ni habari au taarifa ya kitu au jambo lilivyo tendeka.
Kila kitu au jambo uliloona, kusikia na hata kuadithiwa linaukwe halisi.
Ukweli halisi na ikiwa uhalisia wa jambo haupo, huo si ukweli ni uongo.
Kwa hali ya kusikitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.